OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hajabaguliwa, maana ukicheki hao wawili wa mwanzoni kutoka kushoto nao hawajashikana mikonoSasa hapo kabaguliwa vipi mbona yupo kwenye line fresh.Mswahili ni mtu wa ajabu sana.
Picha ipo normalHajabaguliwa, maana ukicheki hao wawili wa mwanzoni kutoka kushoto nao hawajashikana mikono
Sometimes kubaguliwa kunapaishwa sana na sisi weusi wenyewe kwenye ku deal na vitu vidogo vidogo ambavyo havina tija yeyote.
Tunavyomfanyia Mzungu wa Simba ingekuwa mtu mweusi anafanyiwa Ulaya pasingetoshaHajabaguliwa, maana ukicheki hao wawili wa mwanzoni kutoka kushoto nao hawajashikana mikono
Sometimes kubaguliwa kunapaishwa sana na sisi weusi wenyewe kwenye ku deal na vitu vidogo vidogo ambavyo havina tija yeyote.
Sasa Huyo mzungu kabaguliwa?Tunavyomfanyia Mzungu wa Simba ingekuwa mtu mweusi anafanyiwa Ulaya pasingetosha
ubaguzi uko wapi angalia wawil toka kushoto na wawil toka kulia
mimi Nimeuliza. Labda mama yako ndio ana mtindio kiasi cha kuona kila mtu ana mtindioMtoa post ana mtindio wa ubongo,
Kabaguliwaje pale ,
Uzungu ni superior wakati uafrika ni inferiorTunavyomfanyia Mzungu wa Simba ingekuwa mtu mweusi anafanyiwa Ulaya pasingetosha