Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
So sad!!Kuna video ya mazoezin pia inazunguka twitter kwenye mazoez hata pasi hawampi kabisa na wanajitenga nae bado naona hakuwa chaguo la uongoz zaid ya kocha pitso tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sad!!Kuna video ya mazoezin pia inazunguka twitter kwenye mazoez hata pasi hawampi kabisa na wanajitenga nae bado naona hakuwa chaguo la uongoz zaid ya kocha pitso tu
Hivyo ni vitu vidogo sana kuanza kuvijadili kama indication ya ubaguziPicha ipo normal
Video vipi mkuu?
Washabiki wa simba uwezo wao wa kufikiri ni mzigo sana.Sasa hapo kabaguliwa vipi mbona yupo kwenye line fresh.Mswahili ni mtu wa ajabu sana.
Mzungu hajabaguliwa ila anaburudisha yeye na mandonga wapo katika lane mojaTunavyomfanyia Mzungu wa Simba ingekuwa mtu mweusi anafanyiwa Ulaya pasingetosha