Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Kwani hujui man u weote makenge pamoja na fans zao awana tofauti
nyie ambao sio makenge mna makombe mangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hujui man u weote makenge pamoja na fans zao awana tofauti
njoo emirates utayajua
nyooo, (mfyonzo) mtaonaje wivu na collection la ManU, mtajibeba!njoo emirates utayajua
...Naona watu tunapitiliza; tumlaumu kwa tukio la leo lakini kumhusisha na ghana kukosa nafasi ni uvivu tu wa kufukiri au kutaka Ghana ipate nafasi ya bure. Mchezaji akifanya foul ndani ya penalty box timu pinzani inapewa penalty na ndio ilivyotokea. huyo Asamoah mbona kakosa penalti tena juzi na kuikosesha ghana kucheza fainali sasa tutasema bado anamkumbuka Suarez. ghana walipoteza wenyewe nafasi kwa uzembe wa Asamoah Gyan; na kama vile kuthibitisha hilo kaharibu tena na mechi ya Zambia.Kweli, nchini Uholanzi anajulikana kama The Cannibal of ajax, alimtafuna mchezaji wa timu pinzani. Mshenzi sana. Kaikosesha Ghana na Africa nafasi hivihivi
wewe haujui kwamba na rio nae ni mhanga wa ubaguzi, acha ujinga!
nyani aoni "kundule"""" hata upige kelele awajui hilo
Penati tano ndani ya mechi tatu na zote za kupewa, ha ha ha ha
Mkuu hapa nakupa tano! Nikiingia kwa computer takugongea like mkuu! Acha wachonge c tuchukue vikombe!nyie ambao sio makenge mna makombe mangapi?
nayule anithi wenu evra alivyomfwata kumchokoza s amkuona eeehh nyani kweli aoni kundule
Utabaki hivyo hivyo kukamatia umekuwa mtu ovyo USO tulia .hivyo. Ndivyo upendavyo kiruka njia
kesi ya kupikwa kwani evra si mnegro mbona alikasirika.
Full Time Man UTd 2 Liverpool 1. Utd top of the table.
Aombe asiombe hazuii kula yangu.