Luka Modric Alistahili Kupata Tuzo Hii Kweli ?

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Dakika ya 70 timu yake ikiwa nyuma kwa goli 3-0 dhidi ya Sevilla Tumeshuhudia Luka akitolewa sub akiwa hajaumia Bali kiwango chake tu kwa leo.
Tangu atangazwe na Fifa kuwa yeye ndiye bora hata wiki bora
Fifa wajaribu kuwa fair kama mchezaji anafikia kiwango basi apewe tu hata kama ameshinda miaka 11 mfululizo.
 

Attachments

  • download.jpeg
    6.6 KB · Views: 31
sa matokeo ya leo ya madrid yanahusiana nn na tuzo yake au uwezo wake? mi siamin km alistahili kupata hio tuzo but kusema kuwa hakustahili kwa kulinganisha perffomance yake ya leo itakuwa ni kutomtendea haki maana modric anajulikana ni mtu wmy uwezo mkubwa hata km leo hajaperform vzuri, mtu hawez kuwa kwe ubora wake kwe kila mechi
 
Mimi ni mfuasi Wa CR7 , na nilipenda sana ashinde tuzo hii.ili awe Wa kwanza kunyakuwa Mara 6.

Lkn Mara zote nilikuwa sifurahishwi, kuufanya mpira Wa miguu ili uwe bora ni lazima ufunge.

Tabia hii, imekuja mpaka bongo, eti mchezaji bora Wa mwezi ni yule aliyesaidia timu YAKE kwa kufunga magoli.

Hii hali ni sababu ya kukosa wataalam Wa soka wenye kutambua ushindi unaanzia wapi ? Na kumalizikia wapi?.

Mfungaji apewe ufungaji bora, na mchezaji bora apewe uchezaji bora.

Modric alistahili.
 
Labda pia utwambie Ronaldo na Messi nao walifanya nini katika mechi zao za jana?
 

so unamaanisha mabeki na makipa hawatakiwi kuchukua hizi tuzo maana wao hawawez kucompete kufunga, kumbuka ile ni tuzo ya mchezaji bora na si tuzo ya mfungaji bora hvyo anaweza pata mtu kutoka position yoyote ile hata kipa
 
Jana timu zote hoiiiii angalia barcelona, madrid, liverpool,, jana wote wamegalagazwa, jana ilikuwa siku mbayaa sanaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…