Luka Modric Alistahili Kupata Tuzo Hii Kweli ?

Luka Modric Alistahili Kupata Tuzo Hii Kweli ?

Kwa msimu huu ulomalizika Modric ameonesha mpira wa kiwango cha juu zaidi pia hta world cup tumemuona akiisaidia team ya kwa kiasi kikubwa katika world cup,ronaldo alijitahidi sana na yeye katika club pia na Mo Salah ila walishindwa kuipa mafanikio taifa lao.
 
so unamaanisha mabeki na makipa hawatakiwi kuchukua hizi tuzo maana wao hawawez kucompete kufunga, kumbuka ile ni tuzo ya mchezaji bora na si tuzo ya mfungaji bora hvyo anaweza pata mtu kutoka position yoyote ile hata kipa
Ahsante, ulichokiandika ndicho nilichomaanisha. Japo umesoma kwa haraka na kudhani Niko tofauti na ww.

Tupo pamoja.
 
Mimi ni mfuasi Wa CR7 , na nilipenda sana ashinde tuzo hii.ili awe Wa kwanza kunyakuwa Mara 6.

Lkn Mara zote nilikuwa sifurahishwi, kuufanya mpira Wa miguu ili uwe bora ni lazima ufunge.

Tabia hii, imekuja mpaka bongo, eti mchezaji bora Wa mwezi ni yule aliyesaidia timu YAKE kwa kufunga magoli.

Hii hali ni sababu ya kukosa wataalam Wa soka wenye kutambua ushindi unaanzia wapi ? Na kumalizikia wapi?.

Mfungaji apewe ufungaji bora, na mchezaji bora apewe uchezaji bora.

Modric alistahili.
mara 6 kivip hata angebeba ronaldo isingekua mara 6


ile sio balon dior
 
Ni ya nini mkuu
ile ni tuzo ya fifa hua inafanyika kila mwaka mwez kama huu



balon dior hufanyika mara nyingi mwez january


balon dior haipo chini ya fifa



wachezaj wengi wanafurahia tuzo ya balon dior kuliko ya fifa kwa sababu balon dior ina heshima zaid

messi na ronaldo wana tuzo sawa za balon dior ila ronaldo kamzid messi tuzo ya fifa
 
katika kitu ambacho sijawahi kukielewa ni Iniesta au angalau Xavi kukosa uanasoka bora wa dunia kwa Mwaka 2010, mafanikio yote aliyopata Messi alipata pamoja nao na wao wakaongeza kombe la dunia ambalo Messi hakuwa nalo lakini akapewa tuzo Messi.
 
Dakika ya 70 timu yake ikiwa nyuma kwa goli 3-0 dhidi ya Sevilla Tumeshuhudia Luka akitolewa sub akiwa hajaumia Bali kiwango chake tu kwa leo.
Tangu atangazwe na Fifa kuwa yeye ndiye bora hata wiki bora
Fifa wajaribu kuwa fair kama mchezaji anafikia kiwango basi apewe tu hata kama ameshinda miaka 11 mfululizo.
Katika jambo ambalo FIFA wameboronga basi ni hili , jakuna sababu yoyote ile , ya maana au ya kijinga kwa Modric kuwa mchezaji bora wa dunia .
 
Back
Top Bottom