Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
hizo akili zako ni...???Ili asimpite kwa wingi wa balo'n dior
Kama za mh mtukufu rais wetu...hizo akili zako ni...???
Uko sahihi!ronaldo alistahili tuzo ya mchezaji bora ulaya ila kwa dunia pengine wako sahihi kumpa modric kwakuwa alifanya vzuri ngazi ya club ulaya na pia akaliongoza taifa lake kufika fainali WC
Ahsante, ulichokiandika ndicho nilichomaanisha. Japo umesoma kwa haraka na kudhani Niko tofauti na ww.so unamaanisha mabeki na makipa hawatakiwi kuchukua hizi tuzo maana wao hawawez kucompete kufunga, kumbuka ile ni tuzo ya mchezaji bora na si tuzo ya mfungaji bora hvyo anaweza pata mtu kutoka position yoyote ile hata kipa
shauri zako! narudia tena shauri zako!!Kama za mh mtukufu rais wetu...
Naona unanitisha mkuu... [emoji23][emoji23]shauri zako! narudia tena shauri zako!!
ile tuzo sio balon diorIli asimpite kwa wingi wa balo'n dior
Ni ya nini mkuuile tuzo sio balon dior
mara 6 kivip hata angebeba ronaldo isingekua mara 6Mimi ni mfuasi Wa CR7 , na nilipenda sana ashinde tuzo hii.ili awe Wa kwanza kunyakuwa Mara 6.
Lkn Mara zote nilikuwa sifurahishwi, kuufanya mpira Wa miguu ili uwe bora ni lazima ufunge.
Tabia hii, imekuja mpaka bongo, eti mchezaji bora Wa mwezi ni yule aliyesaidia timu YAKE kwa kufunga magoli.
Hii hali ni sababu ya kukosa wataalam Wa soka wenye kutambua ushindi unaanzia wapi ? Na kumalizikia wapi?.
Mfungaji apewe ufungaji bora, na mchezaji bora apewe uchezaji bora.
Modric alistahili.
ile ni tuzo ya fifa hua inafanyika kila mwaka mwez kama huuNi ya nini mkuu
Katika jambo ambalo FIFA wameboronga basi ni hili , jakuna sababu yoyote ile , ya maana au ya kijinga kwa Modric kuwa mchezaji bora wa dunia .Dakika ya 70 timu yake ikiwa nyuma kwa goli 3-0 dhidi ya Sevilla Tumeshuhudia Luka akitolewa sub akiwa hajaumia Bali kiwango chake tu kwa leo.
Tangu atangazwe na Fifa kuwa yeye ndiye bora hata wiki bora
Fifa wajaribu kuwa fair kama mchezaji anafikia kiwango basi apewe tu hata kama ameshinda miaka 11 mfululizo.