Duuu we ndugu yani natamani kumkosoa Lukaku kwa namba nilivyomuona, ila baada ya kuandika hayo maneno yako kila nikitaka kukujibu nakwama.Kweli Lukaku ni average lakini aliweza kufunga, hao Madrid na washambuliaji wao wote. Magoli yao yamefungwa na viungo, sasa sijui Lukaku na washambuliaji wa Madrid ni nani ni average?
LFC.... penta-UEFA champs!!Punguzeni midomo basi mwe! Game mmoja tu jamani ...timu gani Leo hii uikutanishe na Madrid isipokee kipigo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hojaHawa jamaa hela walizonunuliwa na wanachokicheza uwanjani ni vitu viwili tofauti. Rejea mechi ya Super cup.
Hasa huyu Pogba anaigharimu sana timu kwenye mechi kubwa. Mou asipoangalia tabia yake ya kuendelea kumkumbatia Pogba itagharimu kibarua chake Man Utd.
Lukaku is an average player for average team. Man Utd walihitaji straika wa kariba ya Lewandowski kinyume na hapo Lukaku awasubiri kuwafunga Burnley au West Brom.
Ni mtizamo tu.
Sorry Lukaku not pogba.but they are comparable the sameLukaku ni mpumbavu sana.hata ile siku man utd anacheza na man city pogba alikuwa anachezea man city na aliwapa assist goli la pili