Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
" Wagner wana hamu ya kwenda Warsaw kutembea na wamekuwa wakinisumbua kwelikweli!"
Lukashenko akizungumza na Putin.
Lukashenko akizungumza na Putin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ukweli Nato hajajienda kuingia kwenye vita nzito kwasasa itamchanganya sana.Poland atapigwa na NATO hawatamsaidia kwa maana hawajitambui mara wanashawishi NATO watumie nyukilia wakati wenzao wanafanya Kila jitihada kuepuka vita vya nyukilia.
" Wagner wana hamu ya kwenda Warsaw kutembea na wamekuwa wakinisumbua kwelikweli!"
Lukashenko akizungumza na Putin.
Poland atapigwa na NATO hawatamsaidia kwa maana hawajitambui mara wanashawishi NATO watumie nyukilia wakati wenzao wanafanya Kila jitihada kuepuka vita vya nyukilia.
Walisikia majamaa,yakiwa kule MPITIMBI songea,baada ya kushiba mihogo na kachumbari.Ndo ukweli Nato hajajienda kuingia kwenye vita nzito kwasasa itamchanganya sana.
Ila pro Russia mna mioyo ya chuma!!daaa,Hiyo ukraine imemshinda ataiweza NATO?!!Poland atapigwa na NATO hawatamsaidia kwa maana hawajitambui mara wanashawishi NATO watumie nyukilia wakati wenzao wanafanya Kila jitihada kuepuka vita vya nyukilia.
Chukua Wagner na Belarus kwa ujumla, hawa Poland atapiga kama ngoma. Vita vimekuwa vigumu kwa Urusi, na ameona Ukraine anapata support kubwa kutoka Poland. Hivyo ili kumpunguza moto Poland, basi ni kujifanya Wagner wanataka kuingia Poland.Poland atapigwa na NATO hawatamsaidia kwa maana hawajitambui mara wanashawishi NATO watumie nyukilia wakati wenzao wanafanya Kila jitihada kuepuka vita vya nyukilia.
Hawa wengine wanajitoa fahamu wanaelewa wazi Nato yote ipo UkraineNini maana ya Nato? Si wametandikwa pale Ukraine na Muda huu wamestisha counter offensive yao ya mchongo.
Hivi wewe na yule General wa Ukraine nani mkweli, yule anasema wazi kabisa kuwa Ukraine hawezi vita na Mrusi na wewe unaleta utumbo hapa.Chukua Wagner na Belarus kwa ujumla, hawa Poland atapiga kama ngoma. Vita vimekuwa vigumu kwa Urusi, na ameona Ukraine anapata support kubwa kutoka Poland. Hivyo ili kumpunguza moto Poland, basi ni kujifanya Wagner wanataka kuingia Poland.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Atakaangwa na hamna atakayemsaidiaWalisikia majamaa,yakiwa kule MPITIMBI songea,baada ya kushiba mihogo na kachumbari.
Wapambane ili sisi huku tujue nani wa kumuunga mkono" Wagner wana hamu ya kwenda Warsaw kutembea na wamekuwa wakinisumbua kwelikweli!"
Lukashenko akizungumza na Putin.
Ukizoea kugonga gonga kichwa chini sakafuni lazima ikuathiri huwezi kuwa na akili timamu.Hivi wewe na yule General wa Ukraine nani mkweli, yule anasema wazi kabisa kuwa Ukraine hawezi vita na Mrusi na wewe unaleta utumbo hapa.
Poland atachakazwa vibaya sana na NATO watasema yeye mwenyewe kajitafutia vita hawawezi msaidia kabisa.
Kwa tarifa yako nusu ya Jeshi la Poland wako Ukraine hao waliobaki Poland ni takataka na Putin anajua hayo.
Hivi we huoni hata aibu zaidi ya nchi 50 zinamsaidia Ukraine kwa silaha na wanajeshi wanamshindwa Mrusi peke yake.Ukizoea kugonga gonga kichwa chini sakafuni lazima ikuathiri huwezi kuwa na akili timamu.
Sasa Russia gani ya kuweza kupigana na Poland wakati Ukraine tu wameshindwa kumaliza vita miaka karibu miwili sasa.
Nan anaepuka kutumia nyuklia?Poland atapigwa na NATO hawatamsaidia kwa maana hawajitambui mara wanashawishi NATO watumie nyukilia wakati wenzao wanafanya Kila jitihada kuepuka vita vya nyukilia.
Chanzo kwa kufanya nn , hv kichwan zimo kwel nyiny ? Unajua chanzo wanachozungumzia ? Je Poland wamegusa nchi yoyote ya majiran?Sheria ya nato ni kama ukishambuliwa na wewe usiwe chanzo. Sasa acha Poland awe chanzo uone kama mbwa koko USA atathubutu hata kuinua sauti
Hii vita itawaonesha vichaa woteHawa wengine wanajitoa fahamu wanaelewa wazi Nato yote ipo Ukraine
Hii vita itatuonesha vita woteHivi wewe na yule General wa Ukraine nani mkweli, yule anasema wazi kabisa kuwa Ukraine hawezi vita na Mrusi na wewe unaleta utumbo hapa.
Poland atachakazwa vibaya sana na NATO watasema yeye mwenyewe kajitafutia vita hawawezi msaidia kabisa.
Kwa tarifa yako nusu ya Jeshi la Poland wako Ukraine hao waliobaki Poland ni takataka na Putin anajua hayo.