Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nani ajaribu nini??mshauri ajaribu, vita SI kama tunavyoongea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani ajaribu nini??mshauri ajaribu, vita SI kama tunavyoongea.
Waanze Hungary kwa Mzee Victor Orban, halafu halafu wataelekea, Poland,Romania,Lithuania na kwingineko🏃🏃🏃" Wagner wana hamu ya kwenda Warsaw kutembea na wamekuwa wakinisumbua kwelikweli!"
Lukashenko akizungumza na Putin.
Ukweli mchungu
Orban ni mwanae Putin.Waanze Hungary kwa Mzee Victor Orban, halafu halafu wataelekea, Poland,Romania,Lithuania na kwingineko[emoji125][emoji125][emoji125]
Sasa huyo mrusi mbona wasishinde vita pamoja na kwamba naye kuna mataifa yanamsaidia.Hivi we huoni hata aibu zaidi ya nchi 50 zinamsaidia Ukraine kwa silaha na wanajeshi wanamshindwa Mrusi peke yake.
Mrusi angekuwa kama Tanzania Nato wangeisha jitokeza kimbelembele lakini kwa Mrusi wako kinyuma wanamuogopa Mrusi
Warusi si mchezo vifaru vya Ujerumani 23 aina ya Leopard na 21 aina ya challenger juzi vilitiwa kiberiti na Drones za Urusi aina ya Lacent, vililipuliwa nakuunguzwa kama karatasi tu.Kwani alisema atazivamia nchi zinazomsaidia au alisema atazipiga silaha zao? Wambie basi waingie direct vita na Mrusi kama wao wanaume wanajificha kwa kutumia nguo za Ukraine
Fuatilia reaction ya Poland makombora ya AD ya Ukraine yalivodondoka kwenye kijiji kimoja Poland ndo utajua kama kweli Poland hawaiogopi Urusi au lah.. Usizugwe na propaganda, hamna nchi yoyote duniani inayotamani kujikuta kwenye mahusiano na Urusi ambayo option pekee iliyobaki ni vita.Poland wamekuwa wakiajiandaa na vitisho vya Urusi muda mrefu na wala hawana wasiwasi naye. Pamoja na silaha nyingine, mwaka jana waliweka order ya HIMARS 500, nadhani wana jambo lao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wagner's bado Wana hamu sio!!!
Poland anajua Vita ikianza na NATO atalengwa na makombola ya uaribifu mkubwa mbali na nyuklia. Hivyo hana amani. NI sawa na mke aliyetishiwa taraka.nchi zote zinaepuka kutumia nyuklia ila Poland ana kiherehere ameshatoa wazo NATO watumie nyuklia lakini hawakumjibu chochote walimwona mjinga.