LUKU za Maji zinakuja lini jamani ili haya mabili ya kubambikiziana yaishe?

LUKU za Maji zinakuja lini jamani ili haya mabili ya kubambikiziana yaishe?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Naomba nikikumbukushe Mhe. Waziri Mama Samia alituhidi Mita za Maji na akasema hataki tena kusikia mambo ya kubambikiziana bili ya yule peleka huku ya huyu weka kule zife

Kiukweli inasikitisha inatia aibu hasa Dar es Salaam ongezeko la mabili linaendelea kama kawaida ..unit wanazokupa hazifanani na ulizotumia ukiuliza anakujibu ame estimate.

Sasa kwani akadirie wakati kila wanakuja kila mwezi kusoma meter za maji majumbani kusoma units ama mnakujaga kupiga picha nazo?

Ndugu zanguu kila bill unayopokea nenda kaangalie inasoma sawa na ya mita yakoo?

Wamepigwa wengi sanaa wapo watu Dar wameamua wanashirikiana na majirani wanalipa kwa pamoja kuogopa hizi janja janja.

Tunaomba Dar iwe kipaumbele kutufungia LUKU za majii hizi za sasa tumezichoka za kuestimate.

WEEKEND NJEMA
JUMUIYA NJEMA
 
Kirefu cha luku ni lipia umeme kadri unavyotumia sasa kwa maji itaitwa lipia maji kadri unavyotumia yaani LIMAKU
 
Tulifululiza kupewa bill zaidi ya 20k kila mwezi ukiangalia maji hayatoki mara kwa mara, matumizi yetu sio makubwa
Walipobugi ni kutupa bill ya 40k mama alishtuka ila hakuilipa hata wiki haikuzidi wakaleta nyingine ya 14k

Mama akafunga safari kwenda dawasco, kufika kule wakamwambia walikua wanachanganya namba yake ya simu na ya mtu mwingine.
Mama akabadili namba ya simu dawasco, lakini bado tunaendelea kupewa bills mara mbilimbili tena kubwa.

Anayejua jinsi ya kusoma mita anielekeze ili nianze kusoma mwenyewe kuwakomesha hawa matapeli.
 
Tulifululiza kupewa bill zaidi ya 20k kila mwezi ukiangalia maji hayatoki mara kwa mara, matumizi yetu sio makubwa
Walipobugi ni kutupa bill ya 40k mama alishtuka ila hakuilipa hata wiki haikuzidi wakaleta nyingine ya 14k

Mama akafunga safari kwenda dawasco, kufika kule wakamwambia walikua wanachanganya namba yake ya simu na ya mtu mwingine.
Mama akabadili namba ya simu dawasco, lakini bado tunaendelea kupewa bills mara mbilimbili tena kubwa.

Anayejua jinsi ya kusoma mita anielekeze ili nianze kusoma mwenyewe kuwakomesha hawa matapeli.
Mkuu kuna wahindi waooo wanachofanya n kucheza najamaa wa billi wanadaiwa laki 5 wanalipa 2 moja inaingia serkln moja mfukon..3 hizi mnaangaliwa mafala wa kufanaoo wewe kamata 40..yule 60 wanawatu waoo kabisa wanawajua hawa tushawabambikia na wanalipa bila shidaa wale n manyoķaa ukiwakuta ofisin kama amalaika
 
Back
Top Bottom