Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
FaizaFoxy na Ritz mbona mnakinzana na CCM chama adhimu ?? Kwanini safari hii mnajitenga na kuweka dini mbele?
Nimekuwa nikiwauliza swali rahisi sana, kama katiba mpya ni kwa ajili ya vizazi vijavyo, kwanini CCM wanataka kuidominate?

Uislaam ni mbele ya kitu chochote kile, na hapa tunauonesha mfumo kristo ulivyo na haupo CCM tu. Ni maradhi yaliyopandikizwa na Nyerere kwa muda wa miaka 26 mfululizo, ni gonjwa zito linawaathiri Watanzania wote si Waislaam pekee.

Huu ugonjwa alionao Lukuvi wa hofu kwa Uislaam unaliathiri taifa na si yeye tu mwenye gonjwa hilo, ni wengi sana.
 
Isikilize video iliyopo kwenye post #1 ina majibu ya maswali yako karibu yote. Yanini unaandikia mate na wino upo?

Faiza Foxy dada yangu kipenzi busara yashinda utumwa!

Hivi utasemaje wakristo wanausema Uislam wakati Lukuvi pale kanisani hakuenda kuhubiri kama mchungaji bali alipeleka salam za serikali? Mbona kajisemea mwenyewe alimwakilisha waziri mkuu?

I am a christian na kwa imani yangu ni dhambi tena ya mauti kumtendea mwenzangu nisichopenda mm kutendewa; hii ni amri kuu katika ukristo yaani kumpenda jirani kama ninavyojipenda mwenyewe.

Mkristo wa ukweli hawezi tumia mbinu yoyote ile kumnyima ibaada mwenzake kwa kitu anachokiamini. Dini ya ukristo haihitaji mtetezi maana Mungu wa ukristo anauwezo wa kugeuza nia ya mtu yeyote bila nguvu! Ni dhambi kwa ukristo kumkataza mtu kuchagua akipendacho. So tofautisha ukristo na individuals' selfishness!

Mimi ningetamani Zanzibar ikawa nchi ya kiislam ili mimi nitakapopiga magoti yangu chumbani kwangu, na kulituma neno Zanzibar injili ingehubiriwa bila mm kwenda Zanzibar na kwa jinsi hiyo Mungu wangu atakuwa amedhihirisha nguvu zake!

My father was a muslim ndugu zake wote walikuwa waislam. Baba yangu alibadili dini na alikuwa mkristo wa kwanza huko nitokako. Lakini aliweka sheria nyumbani kwetu asilazimishwe ndugu yake yeyote kubadili ama kuishi maisha kinyume na dini yao ya uislam. Chakushangaza hakuna ndugu yake hata mmoja leo aliye mwisilamu wote walibadili kwa hiari yao. Haikuwa abrupt ilichukua miaka zaidi ya 60. Zaidi ni kuwa kanisa alililianzisha leo jamii ile ya hiyo sehemu asilimia 90 ni wakristo.

Hivyo ninauhakika dini ya ukristo haihitaji nguvu bali kuna evidence wapo watu wanakubali kuifia tena kwa hiari siyo kwa manipulation.

So what I mean kwangu inakuwa heri sana kama Zanzibar ingeachwa na kuwa nchi ya uislam ili kwa huduma yetu Mungu ajitukuze mwenyewe Zanzibar bila maguvu wala shuruti!

So hao watu wanaoutumia ukristo kwa nia zao siyo wakristo ni wasaka tonge tu!
 
Uislaam ni mbele ya kitu chochote kile, na hapa tunauonesha mfumo kristo ulivyo na haupo CCM tu. Ni maradhi yaliyopandikizwa na Nyerere kwa muda wa miaka 26 mfululizo, ni gonjwa zito linawaathiri Watanzania wote si Waislaam pekee.

Huu ugonjwa alionao Lukuvi wa hofu kwa Uislaam unaliathiri taifa na si yeye tu mwenye gonjwa hilo, ni wengi sana.

...

....asante sana mamamkwe kwa kubumburuka.....leo umesimamia mizani ya UKWELI !!!
 
ndugu zangu wanajf ninawaomba kwa heshima na taadhima wakati huu si wakuangalia dini hebu tujitahidi kwa pamoja tudai tanganyika yetu atakae kuwa mkristo au muislam ni imani yake kwa manufaa yake na anachotaka kufanya lukuvi na hao wasakatonge wenzake ni kuvuruga mada ili tugeukie dini tusitetee wala kupigania nchi yetu

Huwezi mkuu sababu ya hawa ccm,na wamefanya makusudi kudivert attention kwa kuwatumia mapandikizi yao kuingiza issue ya udini wakijua kuna akili ndogo zitaacha kujadili hoja at hand na kuzungumzia personality Lukuva lukuva,tuachane na habari ya katiba
 
Mimi ni mtetezi wa CCM daima. Kumbuka, mtoto akikunyea huukati mkono, unauosha unausafisha unaendelea na maisha.

Na hapa tupo katika kuusafisha mkono kwa kuudhihirisha mfumo kristo tunaouongea kila siku. Huu ni ushahidi kamili kuwa hatulalamiki kwa kupenda kulalamika tu. Yapo, toka kwa waziri mkuu mpaka kwa akina Lukuvi. Ni wengi tu wapo. lakini ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Ka Lukuvi kamewakera Waislaam wengi wa CCM leo, na hata wale wasio wa CCM. Hukumsikiliza Lipumba hapo kwenye post #1 au unatumia kamchina hakaoni video?

....Ukizidi kuitetea CCM kwa msimamo huo itasambaratika !!!!
 
Huwezi mkuu sababu ya hawa ccm,na wamefanya makusudi kudivert attention kwa kuwatumia mapandikizi yao kuingiza issue ya udini wakijua kuna akili ndogo zitaacha kujadili hoja at hand na kuzungumzia personality Lukuva lukuva,tuachane na habari ya katiba

...Salute wewe Mkuu !!!
 
Ana tofauti gani na Lukuvi?

Amandla.......

Hii ndo ilikua mbaya zaidi,maana hapo mh lipumba alitoka kwenye siasa za utaifa akaingia kwenye saisa za udini,ALAFU ONA WANASIASA WETU WALIVYO WANAFIKI,Chama alichokua anawaambia waislam kua kinafadhiliwa na nchi za magharibi bila ya shaka ni chadema,leo yupo meza moja na wanachadema,kweli nchi hii zinaendeshwa sihasa,
 
Kwani wewe ulijiunga Chadema kumfuata Padre Slaa au Mchungaji Msigwa?

Unauliza majibu? Si ndiyo maana ni preacher tangu lini Gospel preacher akaenda sehemu kusiko na habari njema?

Ndiyo maana siishi kukushangaa wewe wa dini nyingine kujiunga na Catholic movement; baniani mbaya kiatu chake dawa lol!
 
Nimeusikiliza vizuri sana ,nimependa alivyopangilia hoja na kuhitimisha kwa nguvu za hoja. Sasa naona Intarahamwe mmeanza kushikana mashati wenyewe kwa wenyewe , kwani naona wa kuwabagua wameshaisha.
Mimi sijauona huo mfumo kristo hapo , nimeichukulia hiyo kauli kama kauli zingine za vitisho na ubaguzi kutoka kwa viongozi wa ccm, mbona huzungumzii kauli kama nchi itatawaliwa kijeshi ,Zanziba imepatikana kwa mapinduzi na serikali ya mapinduzi haiwezi kuchukuliwa kwa karatasi n.k.
Usitake kuugeuza huu mjadala uwe wa kidini , wakati hapa chanzo cha matatizo yote haya inafahamika ni ccm.
Kwa taarifa yako huwezi kutenganisha ccm na unacholalamikia hapa , chagua moja huwezi kutetea mabwana wawili kwa wakati mmoja kwenye hili suala.

"VUA GAMBA JIUNGE NA UKAWA UPINGE UBAGUZI NA VITISHO"

Hapa kinacho leta tabu sana sio maneno tuu ya Lukuvi.Bali ni mahala alipo kwenda kuyatolea maneno hayo. Ukisikiliza maneno yenyewe ni ya uchechezi wa dini mbili kubwa ktk Jamhuri yetu .
Mbaya zaidi amekwenda kumuwakilisha PM kwahiyo hakwenda pale kama Lukuvi tu na hakuenda pale binafsi kaenda akiwa anaiwakilisha Serikali ya Jamhuri. Laiti maneno yale angeyatamka pale mjengoni tungesema anawachonganisha waislam na vyombo vya usalama na wanao taka muundo tofauti na muundo wa serikali 2.
Mm namuona Lukuvi ni mtu anae uchukia uislam ingawa chuki zake sio kwa faida na maslahi ya ukiristo nathubutu kusema chuki zake ni kwa maslahi na utashi wake binafsi.nataka niamini hana imani na chama chake kushinda ktk muundo wa muungano wa ainayeyote tofauti na huu uliopo. Ndio maana anajaribi kutuchonganisha kwa kutumia dini zetu.chakusikitisha huyo mchungaji aliekuwa anapewa uaaskofu mdu mfupi tu ameamini maneno ya Lukuvi na akatoa jibu hapo hapo.
 
Faiza Foxy dada yangu kipenzi busara yashinda utumwa!

Hivi utasemaje wakristo wanausema Uislam wakati Lukuvi pale kanisani hakuenda kuhubiri kama mchungaji bali alipeleka salam za serikali? Mbona kajisemea mwenyewe alimwakilisha waziri mkuu?

I am a christian na kwa imani yangu ni dhambi tena ya mauti kumtendea mwenzangu nisichopenda mm kutendewa; hii ni amri kuu katika ukristo yaani kumpenda jirani kama ninavyojipenda mwenyewe.

Mkristo wa ukweli hawezi tumia mbinu yoyote ile kumnyima ibaada mwenzake kwa kitu anachokiamini. Dini ya ukristo haihitaji mtetezi maana Mungu wa ukristo anauwezo wa kugeuza nia ya mtu yeyote bila nguvu! Ni dhambi kwa ukristo kumkataza mtu kuchagua akipendacho. So tofautisha ukristo na individuals' selfishness!

Mimi ningetamani Zanzibar ikawa nchi ya kiislam ili mimi nitakapopiga magoti yangu chumbani kwangu, na kulituma neno Zanzibar injili ingehubiriwa bila mm kwenda Zanzibar na kwa jinsi hiyo Mungu wangu atakuwa amedhihirisha nguvu zake!

My father was a muslim ndugu zake wote walikuwa waislam. Baba yangu alibadili dini na alikuwa mkristo wa kwanza huko nitokako. Lakini aliweka sheria nyumbani kwetu asilazimishwe ndugu yake yeyote kubadili ama kuishi maisha kinyume na dini yao ya uislam. Chakushangaza hakuna ndugu yake hata mmoja leo aliye mwisilamu wote walibadili kwa hiari yao. Haikuwa abrupt ilichukua miaka zaidi ya 60. Zaidi ni kuwa kanisa alililianzisha leo jamii ile ya hiyo sehemu asilimia 90 ni wakristo.

Hivyo ninauhakika dini ya ukristo haihitaji nguvu bali kuna evidence wapo watu wanakubali kuifia tena kwa hiari siyo kwa manipulation.

So what I mean kwangu inakuwa heri sana kama Zanzibar ingeachwa na kuwa nchi ya uislam ili kwa huduma yetu Mungu ajitukuze mwenyewe Zanzibar bila maguvu wala shuruti!

So hao watu wanaoutumia ukristo kwa nia zao siyo wakristo ni wasaka tonge tu!

Mkuu,

Nimekusoma na nimependa kiduchu hiyo personal experience yako, uliyoamua ku-share nasi Watanzania wanzio!

I must admit it's so interesting!

Ahsanta sana!
 
Professor Lipumba leo amesema anakwenda Zanzibar kuwaelezea wananchi kinachoendelea, nna uhakika mada kuu haitoliwacha hili la Lukuvi. Au unasemaje?

Anakwenda kushitaki kwa wananchi wa Zanzibar.

Lipumba yuko sahihi kabisa! Kila wakati mwanasiasa bora lazima atafute kinga toka kwa wananchi wake.
Nauliza, Lukuvi alikwenda kumwakilisha w.mkuu, ni serikali ni ccm kwa nini unapindisha kuikoa ccm na kuzamisha ukristo? Usitegemee mema kutoka ccm. Hawa ni watu wasiyo na matumizi.

ukiendelea kuwatikuza ccm utaendelea makubwa kuliko haya.
 
Mkuu,

Nimekusoma na nimependa kiduchu hiyo personal experience yako, uliyoamua ku-share nasi Watanzania wanzio!

I must admit it's so interesting!

Ahsanta sana!

Usiogope greater is he who is in me than who is against me; siyo bahati mbaya nipo sober!
 
Faiza Foxy dada yangu kipenzi busara yashinda utumwa!

Hivi utasemaje wakristo wanausema Uislam wakati Lukuvi pale kanisani hakuenda kuhubiri kama mchungaji bali alipeleka salam za serikali? Mbona kajisemea mwenyewe alimwakilisha waziri mkuu?

I am a christian na kwa imani yangu ni dhambi tena ya mauti kumtendea mwenzangu nisichopenda mm kutendewa; hii ni amri kuu katika ukristo yaani kumpenda jirani kama ninavyojipenda mwenyewe.

Mkristo wa ukweli hawezi tumia mbinu yoyote ile kumnyima ibaada mwenzake kwa kitu anachokiamini. Dini ya ukristo haihitaji mtetezi maana Mungu wa ukristo anauwezo wa kugeuza nia ya mtu yeyote bila nguvu! Ni dhambi kwa ukristo kumkataza mtu kuchagua akipendacho. So tofautisha ukristo na individuals' selfishness!

Mimi ningetamani Zanzibar ikawa nchi ya kiislam ili mimi nitakapopiga magoti yangu chumbani kwangu, na kulituma neno Zanzibar injili ingehubiriwa bila mm kwenda Zanzibar na kwa jinsi hiyo Mungu wangu atakuwa amedhihirisha nguvu zake!

My father was a muslim ndugu zake wote walikuwa waislam. Baba yangu alibadili dini na alikuwa mkristo wa kwanza huko nitokako. Lakini aliweka sheria nyumbani kwetu asilazimishwe ndugu yake yeyote kubadili ama kuishi maisha kinyume na dini yao ya uislam. Chakushangaza hakuna ndugu yake hata mmoja leo aliye mwisilamu wote walibadili kwa hiari yao. Haikuwa abrupt ilichukua miaka zaidi ya 60. Zaidi ni kuwa kanisa alililianzisha leo jamii ile ya hiyo sehemu asilimia 90 ni wakristo.

Hivyo ninauhakika dini ya ukristo haihitaji nguvu bali kuna evidence wapo watu wanakubali kuifia tena kwa hiari siyo kwa manipulation.

So what I mean kwangu inakuwa heri sana kama Zanzibar ingeachwa na kuwa nchi ya uislam ili kwa huduma yetu Mungu ajitukuze mwenyewe Zanzibar bila maguvu wala shuruti!

So hao watu wanaoutumia ukristo kwa nia zao siyo wakristo ni wasaka tonge tu!

Safi sana
 
Hapa kinacho leta tabu sana sio maneno tuu ya Lukuvi.Bali ni mahala alipo kwenda kuyatolea maneno hayo. Ukisikiliza maneno yenyewe ni ya uchechezi wa dini mbili kubwa ktk Jamhuri yetu .
Mbaya zaidi amekwenda kumuwakilisha PM kwahiyo hakwenda pale kama Lukuvi tu na hakuenda pale binafsi kaenda akiwa anaiwakilisha Serikali ya Jamhuri. Laiti maneno yale angeyatamka pale mjengoni tungesema anawachonganisha waislam na vyombo vya usalama na wanao taka muundo tofauti na muundo wa serikali 2.
Mm namuona Lukuvi ni mtu anae uchukia uislam ingawa chuki zake sio kwa faida na maslahi ya ukiristo nathubutu kusema chuki zake ni kwa maslahi na utashi wake binafsi.nataka niamini hana imani na chama chake kushinda ktk muundo wa muungano wa ainayeyote tofauti na huu uliopo. Ndio maana anajaribi kutuchonganisha kwa kutumia dini zetu.chakusikitisha huyo mchungaji aliekuwa anapewa uaaskofu mdu mfupi tu ameamini maneno ya Lukuvi na akatoa jibu hapo hapo.

hata hayo maneno ya nchi kupinduliwa na jeshi ameyatamkia humo humo kanisani.

kama ukiendelea na fikra za kumtenganisha lukuvi na ccm , basi jua unachokipigania hamtakipata kamwe.
 
Hakuna jipya,lipumba nimdini maarufu anae fahamika,kinacho mponza lukuvi nihisia zake tu za kuung'ang'ani muungano usio na tija kwa watanganyika,lipumba nimnafiki no:1 Tanzania chama alicho waambia waislam kua kina ufadhili kutoka nchi za magharibi na watu wa magharibi hawataki kuuona uislam bila ya shaka ni chadema,leo huyo huyo lipumba yupo meza moja na chadema (unafiki)wewe umewataadharisha waislam na chadema ili kuunusuru uislam punde tu wewe upo nao hao hao,SIHASA
 
Kuna nchi na serikali nyingi tu duniani ambazo zina hofu na watu wenye msimamo mkali wa kidini; iwe Waislamu au watu wa dini nyingine. Zipo nchi za Kiislamu ambazo zina hofu na Waislamu wenye msimamo mkali, Saudia, UAE, Misri n.k ni mifano tu. Kwamba mtu ameonesha hofu hii kuhusiana na Zanzibar si suala la kushangaza kwani wapo pia wananchi wa Zanzibar ambao nao yumkini wana hofu hiyo hiyo. Huwezi kuita hii ni "phobia' isipokuwa hujui maana ya 'phobia' ni nini.
 
Faiza wewe uko mdini sana. Muda mwingine nakufatilia na nakusoma chuki zako kwa Nyerere na hata viongozi wake waandamizi.

Kwa taarifa yako Nyerere huo uhuru hakupata mwenywe,na hii nchi sio ya wakristo. Tena waislam walimsaidia sana Mwalimu katika kupata uhuru wa nchi na hata kufika mpaka hii leo.

Wewe ni mtu hatari sana katika jamii ya waafrica na watanzania kwa ujumla. Chumvi au mbegu unayopandikiza hapa haitakuacha, itakutafuna mpaka kaburini mwako na hata mpaka wewe na watoto wako naa wajukuu zako.

Kuna ubaya gani kutoleta hoja bila kuleta udini au kuzungumzia na kuukashifu ukristo??
Mimi nilikulia msasani. Majirani zangu asilimia tisini walikuwa waislam. Kipindi cha holy month of Ramadhan walikuwa wanatuleta daku au hata futari nasi tunawapa chochote kilichopo hata maji baridi bure barabarani wanpotoka msiktini.Sikuwahi kuona chuki wala kusikia neno,walisheherekwa pamoja nasi sikuku zao na sikuku zetu kwa pamoja.
Until lately watu kama nyinyi mashetani na yule gaidi serikali inamfunga sijui sheikh nani mnapanda chuki kwa watz.

Mimi nafanya kazi serikalini. Nachokuambia nyinyi mnabahati Dr KIkwete ni mtu mpole na mtaratibu. Baada ya 2015 leteni ujinga huu kutenganisha watz tutawasaka hadi makwenu.

Waambieni waliowatuma kwamba tutaenda mfumo wa jicho kwa jicho. Hamwezi kutuharibia nchi yetu kwa tofauti za kidini na kikabila. Hata siku moja.

Lukuvi hawakilishi wakristo wote wala serikali kwa ujumla. Yule mtu ni mjinga sijapata kuona. Na watu kama hawa wanaongea wanavyotaka hawajui madhara katika nchi ndio wanaleta shida.

Wewe kuleta hoja na kuunganisha mawazo yako serikali na mfumo wake nathani ni kupungukiwa fikra kama sio ugaidi ulionao ndan. Na kwa taarifa yako Tanzanja haiweze kuwa nchi ya kiislam wala ya wakristo. Utakufa wewe utaiacha na wajinga wenzako wote wenye hila za kigaidi.





The king.
 
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".

Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.

Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".

Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.

Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.

Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?

Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.

Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.

Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa
wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?

[video=youtube_share;PIAPAAd3Dck]http://youtu.be/PIAPAAd3Dck[/video]

cc Ritz, gombesugu, kahtaan, THE BIG SHOW, CHAMVIGA
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.

Uislamu ndio unaosababisha muungano unang'ng'aniwa kumbe!?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom