Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
FaizaFoxy na Ritz mbona mnakinzana na CCM chama adhimu ?? Kwanini safari hii mnajitenga na kuweka dini mbele?
Nimekuwa nikiwauliza swali rahisi sana, kama katiba mpya ni kwa ajili ya vizazi vijavyo, kwanini CCM wanataka kuidominate?

Uislaam ni mbele ya kitu chochote kile, na hapa tunauonesha mfumo kristo ulivyo na haupo CCM tu. Ni maradhi yaliyopandikizwa na Nyerere kwa muda wa miaka 26 mfululizo, ni gonjwa zito linawaathiri Watanzania wote si Waislaam pekee.

Huu ugonjwa alionao Lukuvi wa hofu kwa Uislaam unaliathiri taifa na si yeye tu mwenye gonjwa hilo, ni wengi sana.
 
Isikilize video iliyopo kwenye post #1 ina majibu ya maswali yako karibu yote. Yanini unaandikia mate na wino upo?

Faiza Foxy dada yangu kipenzi busara yashinda utumwa!

Hivi utasemaje wakristo wanausema Uislam wakati Lukuvi pale kanisani hakuenda kuhubiri kama mchungaji bali alipeleka salam za serikali? Mbona kajisemea mwenyewe alimwakilisha waziri mkuu?

I am a christian na kwa imani yangu ni dhambi tena ya mauti kumtendea mwenzangu nisichopenda mm kutendewa; hii ni amri kuu katika ukristo yaani kumpenda jirani kama ninavyojipenda mwenyewe.

Mkristo wa ukweli hawezi tumia mbinu yoyote ile kumnyima ibaada mwenzake kwa kitu anachokiamini. Dini ya ukristo haihitaji mtetezi maana Mungu wa ukristo anauwezo wa kugeuza nia ya mtu yeyote bila nguvu! Ni dhambi kwa ukristo kumkataza mtu kuchagua akipendacho. So tofautisha ukristo na individuals' selfishness!

Mimi ningetamani Zanzibar ikawa nchi ya kiislam ili mimi nitakapopiga magoti yangu chumbani kwangu, na kulituma neno Zanzibar injili ingehubiriwa bila mm kwenda Zanzibar na kwa jinsi hiyo Mungu wangu atakuwa amedhihirisha nguvu zake!

My father was a muslim ndugu zake wote walikuwa waislam. Baba yangu alibadili dini na alikuwa mkristo wa kwanza huko nitokako. Lakini aliweka sheria nyumbani kwetu asilazimishwe ndugu yake yeyote kubadili ama kuishi maisha kinyume na dini yao ya uislam. Chakushangaza hakuna ndugu yake hata mmoja leo aliye mwisilamu wote walibadili kwa hiari yao. Haikuwa abrupt ilichukua miaka zaidi ya 60. Zaidi ni kuwa kanisa alililianzisha leo jamii ile ya hiyo sehemu asilimia 90 ni wakristo.

Hivyo ninauhakika dini ya ukristo haihitaji nguvu bali kuna evidence wapo watu wanakubali kuifia tena kwa hiari siyo kwa manipulation.

So what I mean kwangu inakuwa heri sana kama Zanzibar ingeachwa na kuwa nchi ya uislam ili kwa huduma yetu Mungu ajitukuze mwenyewe Zanzibar bila maguvu wala shuruti!

So hao watu wanaoutumia ukristo kwa nia zao siyo wakristo ni wasaka tonge tu!
 

...

....asante sana mamamkwe kwa kubumburuka.....leo umesimamia mizani ya UKWELI !!!
 

Huwezi mkuu sababu ya hawa ccm,na wamefanya makusudi kudivert attention kwa kuwatumia mapandikizi yao kuingiza issue ya udini wakijua kuna akili ndogo zitaacha kujadili hoja at hand na kuzungumzia personality Lukuva lukuva,tuachane na habari ya katiba
 

....Ukizidi kuitetea CCM kwa msimamo huo itasambaratika !!!!
 

...Salute wewe Mkuu !!!
 
Ana tofauti gani na Lukuvi?

Amandla.......

Hii ndo ilikua mbaya zaidi,maana hapo mh lipumba alitoka kwenye siasa za utaifa akaingia kwenye saisa za udini,ALAFU ONA WANASIASA WETU WALIVYO WANAFIKI,Chama alichokua anawaambia waislam kua kinafadhiliwa na nchi za magharibi bila ya shaka ni chadema,leo yupo meza moja na wanachadema,kweli nchi hii zinaendeshwa sihasa,
 
Kwani wewe ulijiunga Chadema kumfuata Padre Slaa au Mchungaji Msigwa?

Unauliza majibu? Si ndiyo maana ni preacher tangu lini Gospel preacher akaenda sehemu kusiko na habari njema?

Ndiyo maana siishi kukushangaa wewe wa dini nyingine kujiunga na Catholic movement; baniani mbaya kiatu chake dawa lol!
 

Hapa kinacho leta tabu sana sio maneno tuu ya Lukuvi.Bali ni mahala alipo kwenda kuyatolea maneno hayo. Ukisikiliza maneno yenyewe ni ya uchechezi wa dini mbili kubwa ktk Jamhuri yetu .
Mbaya zaidi amekwenda kumuwakilisha PM kwahiyo hakwenda pale kama Lukuvi tu na hakuenda pale binafsi kaenda akiwa anaiwakilisha Serikali ya Jamhuri. Laiti maneno yale angeyatamka pale mjengoni tungesema anawachonganisha waislam na vyombo vya usalama na wanao taka muundo tofauti na muundo wa serikali 2.
Mm namuona Lukuvi ni mtu anae uchukia uislam ingawa chuki zake sio kwa faida na maslahi ya ukiristo nathubutu kusema chuki zake ni kwa maslahi na utashi wake binafsi.nataka niamini hana imani na chama chake kushinda ktk muundo wa muungano wa ainayeyote tofauti na huu uliopo. Ndio maana anajaribi kutuchonganisha kwa kutumia dini zetu.chakusikitisha huyo mchungaji aliekuwa anapewa uaaskofu mdu mfupi tu ameamini maneno ya Lukuvi na akatoa jibu hapo hapo.
 

Mkuu,

Nimekusoma na nimependa kiduchu hiyo personal experience yako, uliyoamua ku-share nasi Watanzania wanzio!

I must admit it's so interesting!

Ahsanta sana!
 
Professor Lipumba leo amesema anakwenda Zanzibar kuwaelezea wananchi kinachoendelea, nna uhakika mada kuu haitoliwacha hili la Lukuvi. Au unasemaje?

Anakwenda kushitaki kwa wananchi wa Zanzibar.

Lipumba yuko sahihi kabisa! Kila wakati mwanasiasa bora lazima atafute kinga toka kwa wananchi wake.
Nauliza, Lukuvi alikwenda kumwakilisha w.mkuu, ni serikali ni ccm kwa nini unapindisha kuikoa ccm na kuzamisha ukristo? Usitegemee mema kutoka ccm. Hawa ni watu wasiyo na matumizi.

ukiendelea kuwatikuza ccm utaendelea makubwa kuliko haya.
 
Mkuu,

Nimekusoma na nimependa kiduchu hiyo personal experience yako, uliyoamua ku-share nasi Watanzania wanzio!

I must admit it's so interesting!

Ahsanta sana!

Usiogope greater is he who is in me than who is against me; siyo bahati mbaya nipo sober!
 

Safi sana
 

hata hayo maneno ya nchi kupinduliwa na jeshi ameyatamkia humo humo kanisani.

kama ukiendelea na fikra za kumtenganisha lukuvi na ccm , basi jua unachokipigania hamtakipata kamwe.
 
Hakuna jipya,lipumba nimdini maarufu anae fahamika,kinacho mponza lukuvi nihisia zake tu za kuung'ang'ani muungano usio na tija kwa watanganyika,lipumba nimnafiki no:1 Tanzania chama alicho waambia waislam kua kina ufadhili kutoka nchi za magharibi na watu wa magharibi hawataki kuuona uislam bila ya shaka ni chadema,leo huyo huyo lipumba yupo meza moja na chadema (unafiki)wewe umewataadharisha waislam na chadema ili kuunusuru uislam punde tu wewe upo nao hao hao,SIHASA
 
Kuna nchi na serikali nyingi tu duniani ambazo zina hofu na watu wenye msimamo mkali wa kidini; iwe Waislamu au watu wa dini nyingine. Zipo nchi za Kiislamu ambazo zina hofu na Waislamu wenye msimamo mkali, Saudia, UAE, Misri n.k ni mifano tu. Kwamba mtu ameonesha hofu hii kuhusiana na Zanzibar si suala la kushangaza kwani wapo pia wananchi wa Zanzibar ambao nao yumkini wana hofu hiyo hiyo. Huwezi kuita hii ni "phobia' isipokuwa hujui maana ya 'phobia' ni nini.
 
Faiza wewe uko mdini sana. Muda mwingine nakufatilia na nakusoma chuki zako kwa Nyerere na hata viongozi wake waandamizi.

Kwa taarifa yako Nyerere huo uhuru hakupata mwenywe,na hii nchi sio ya wakristo. Tena waislam walimsaidia sana Mwalimu katika kupata uhuru wa nchi na hata kufika mpaka hii leo.

Wewe ni mtu hatari sana katika jamii ya waafrica na watanzania kwa ujumla. Chumvi au mbegu unayopandikiza hapa haitakuacha, itakutafuna mpaka kaburini mwako na hata mpaka wewe na watoto wako naa wajukuu zako.

Kuna ubaya gani kutoleta hoja bila kuleta udini au kuzungumzia na kuukashifu ukristo??
Mimi nilikulia msasani. Majirani zangu asilimia tisini walikuwa waislam. Kipindi cha holy month of Ramadhan walikuwa wanatuleta daku au hata futari nasi tunawapa chochote kilichopo hata maji baridi bure barabarani wanpotoka msiktini.Sikuwahi kuona chuki wala kusikia neno,walisheherekwa pamoja nasi sikuku zao na sikuku zetu kwa pamoja.
Until lately watu kama nyinyi mashetani na yule gaidi serikali inamfunga sijui sheikh nani mnapanda chuki kwa watz.

Mimi nafanya kazi serikalini. Nachokuambia nyinyi mnabahati Dr KIkwete ni mtu mpole na mtaratibu. Baada ya 2015 leteni ujinga huu kutenganisha watz tutawasaka hadi makwenu.

Waambieni waliowatuma kwamba tutaenda mfumo wa jicho kwa jicho. Hamwezi kutuharibia nchi yetu kwa tofauti za kidini na kikabila. Hata siku moja.

Lukuvi hawakilishi wakristo wote wala serikali kwa ujumla. Yule mtu ni mjinga sijapata kuona. Na watu kama hawa wanaongea wanavyotaka hawajui madhara katika nchi ndio wanaleta shida.

Wewe kuleta hoja na kuunganisha mawazo yako serikali na mfumo wake nathani ni kupungukiwa fikra kama sio ugaidi ulionao ndan. Na kwa taarifa yako Tanzanja haiweze kuwa nchi ya kiislam wala ya wakristo. Utakufa wewe utaiacha na wajinga wenzako wote wenye hila za kigaidi.





The king.
 

Uislamu ndio unaosababisha muungano unang'ng'aniwa kumbe!?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…