Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Japo mi ni UKAWA, lakini huyu jamaa kaongea ukweli mchungu.

Kaka huu sio ukweli huu ni uchonganishi kwa watanzania,wazanzibar wana dini yao lazima iheshimike,pale wazanzibari wanaposema wanatawaliwa na mfumo wa kikiristo wanasema hivyo kutokana na kauli za viongozi kama hawa,huyu jama anatakiwa ajiuzulu anaweza kusababisha vita vya dini Tanzania..
 
allah anasema "wanayosema(makafir) katika vinywa vyao ni badogo sana kuliko yaliomo ndani ya mioyo yao."
 
Kaka huu sio ukweli huu ni uchonganishi kwa watanzania,wazanzibar wana dini yao lazima iheshimike,pale wazanzibari wanaposema wanatawaliwa na mfumo wa kikiristo wanasema hivyo kutokana na kauli za viongozi kama hawa,huyu jama anatakiwa ajiuzulu anaweza kusababisha vita vya dini Tanzania..

Mkuu wakristu kule zazibar watafurumushwa, Lukuzi hajakosea kwa hilo.
 
1509732_10151993012396176_7375851351074634506_n.jpg tulikuwa hatujajua kumbeeeeehh .......haya twende kazi sasa
 
Mkuu wakristu kule zazibar watafurumushwa, Lukuzi hajakosea kwa hilo.
KAMA unasema kweli jibu hili swali.
UKIRISTO UMEKAA ZANZIBAR MUDA(miaka mingapi) GANI KABLA YA MUUNGANO HUU WA SASA?
 
mkuu tuwekee na ya Maalim Seif aliyoitoa Kibandamaiti ambayo Lukuvi alii-refer
 
KAMA unasema kweli jibu hili swali.
UKIRISTO UMEKAA ZANZIBAR MUDA(miaka mingapi) GANI KABLA YA MUUNGANO HUU WA SASA?

Uislam uliokuepo zama zile sio uislam huu wa sasa wa uamsho,alkaida,alshababu,boko haram. Uislam wa sasa umebadili uelekeo,umejaa chuki,fitina,mauaji. Mimi pia ni ukawa ila nikiangalia kwa jicho la tatu wakristo znz wako hatarini km serikali zitakua 3. Ila mwsho naipenda Tanganyika.
 
Uislam uliokuepo zama zile sio uislam huu wa sasa wa uamsho,alkaida,alshababu,boko haram. Uislam wa sasa umebadili uelekeo,umejaa chuki,fitina,mauaji. Mimi pia ni ukawa ila nikiangalia kwa jicho la tatu wakristo znz wako hatarini km serikali zitakua 3. Ila mwsho naipenda Tanganyika.
Hukuelewa swali
Ukiristo umekaa miaka mingapi zanzibarkabla ya mungano huu?
Sikukuuliza aina ya uislamu uliopo zanzibar .hilo nitakuambia ukitaka..maana Mm najua
 
sasa huo wasiwasi wake akiuweka wazi, watu kwajadili, tukatengezeza katiba itakayombana yeyote atakayetaka kuvunjaa muungani, tatizo linakuwa limekwisha, sasa kana unahoja unashindwa kuweka mezani unaongelea kanisani ndio tabu
 
Mbona hakuna kibaya alichokiongea? All are true facts ambazo ni known.
 
To be honest Lukuvi alichokosea ni kwenda kuongelea kanisani inaleta picha mbaya sana kwa kiongozi kam yeye. In short hayo ni majungu. I'm a christian.
 
Nilimwona alipokuwa akiropoka bungeni, ule sio ukweli wake bali alitumwa na bosi wake kuongeza msisitizo juu ya kauli zake wakati wa ufunguzi. Mlinzi wake waziri mkuu ambaye kama ingekuwa lukuvi anakuva ya kwake angeitwa pembeni na m na kuonywa, halafu baadaye bunge lingeambiwa yameisha. Kimya hiki hata baada ya makelele mengi juu ya hayo ujue hakuvi ngoma peke yake, wapo wapashaji moto ngoma hiyo, lukuvi is just atip of the hippo's nose. Ccm nakwambia imekusudia kuizaa rwanda ya tanzania, tusipoikataa another genoside in east africa is at the door. Kuikataa ni ama serikali moja au tanganyika on board muungano.
 
Mkuu wakristu kule zazibar watafurumushwa, Lukuzi hajakosea kwa hilo.

Hamna mkuu hiyo sio kweli,aliyosema Lukuvi ni propaganda za kisisasa bila ya kufikiria athari zake,kumbuka kuwa kuna askof anaitwa Hafidh kanisani la protestant mkunazini unguja huyu askofu yuko mstari wa Mbele kutakua zanzibar yenye mamlaka kamili

vile vile kumbuka jaji Agostino Ramadhani na yeye alikuwemo kwenye kamati ya Warioba,Agostino Ramadhani ni mkristo mzaliwa wa unguja yeye ni mwanasheria kama angeliyaona hayo anayoyasema Lukuvi sifikirii kama wangeliyapitisha kwenye kamati

Lukuvi na waliomtuma wanataka kuwasha moto Tanzania kwa maskahi yao wanatapatapa watasema kila kitu ili wajilinde wanaongea bila ya kufikiri,wanakula kama mfa maji hata Jain wanalikamata ili wasizame
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom