Problem: Znz ikiwa na serikali huru.
itaanzisha dola ya Kiislam
Fact: Wakristo waishio Znz hawafiki
%1
Solution: Wakristo waishio Znz
wahamishiwe Ukerewe,
kama suala ni kuishi.
visiwani!
Justification: Refer Pakistan-
Bangladesh migration,
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Endelea kuvuta bangi, utaona matokeo yake.
Sikuwahi kumdharau Lukuvi ila leo alipotoa uteterzi wake. Alisema mambo ambayo mtu mzima tena waziri hangetakiwa kuyasema!
Acheni kuweweseka, Ukweli ndio huo!
Uwaziri hauna heshima tena nchi hii ..alianza zimbabwe +zanzibar leo nimejionea kituko kingine cha mtu anaitwa lukuvi..kikwete nenda tu hakika umeweka historia
Mbwa weeAcheni kuweweseka, Ukweli ndio huo!
Uwaziri hauna heshima tena nchi hii ..alianza zimbabwe +zanzibar leo nimejionea kituko kingine cha mtu anaitwa lukuvi..kikwete nenda tu hakika umeweka historia
Celina Kombani na Jaji Werema walisema mapema kabisa kwamba hatuhitaji katiba mpya,hamkusikia,oneni sasa kinachotokea!!!!
Kweli mkuu yaani vurugu mechi .kwa mtaji huu nimeamini hata bila rais tungekuwa mbali sanaNa JK mwenyewe si aina hiyo hiyo. Uteuzi wake unaakisi kiwango chake cha akili, busara, hekima, nk. Hadhi ya urais imeshguka, hadhi ya uwaziri ndiyo hiyo akina Lukuvi na Mchemba, nk.
chili bunge maalumu la katiba limepwaya kuliko kawaida.natamani rais awaze vema
tena kwa kichwa chake mwenyewe Vila kushirikisha ushauri was akina lukuvi afute bunge hili na aunde jingine lisilo na wanasiasa. maccm wameharibu mwenendo wrote.
kinacbijadiliwa hakipo hata katika rasimu was hakikuwa maoni ya watanzania. hakuna name sijui hio rasimu wameipata wapi wanayoijadili , kwani rasimu ni ya serikali tatu.