Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi


Endelea kuvuta bangi, utaona matokeo yake.
 
..................very shameful Lukuvi, kamalizia na kupigania maslahi ya Lytonga Mrema kisa kabakia mjengoni.
 
Unaweza kuiona kama propaganda lakini wakati huo huo ukitafakari kwa umakini kuna ka ukweli-ukweli ndani yakda.
 
Sikuwahi kumdharau Lukuvi ila leo alipotoa uteterzi wake. Alisema mambo ambayo mtu mzima tena waziri hangetakiwa kuyasema!

Ww ni lipi hasa unaona hakupaswa kulisema kati ya yote aliyoyaongea . ?
 
Uwaziri hauna heshima tena nchi hii ..alianza zimbabwe +zanzibar leo nimejionea kituko kingine cha mtu anaitwa lukuvi..kikwete nenda tu hakika umeweka historia
 
Uwaziri hauna heshima tena nchi hii ..alianza zimbabwe +zanzibar leo nimejionea kituko kingine cha mtu anaitwa lukuvi..kikwete nenda tu hakika umeweka historia

Na JK mwenyewe si aina hiyo hiyo. Uteuzi wake unaakisi kiwango chake cha akili, busara, hekima, nk. Hadhi ya urais imeshguka, hadhi ya uwaziri ndiyo hiyo akina Lukuvi na Mchemba, nk.
 
Nimemsililza huyu jamaa nikagundua he might be having brain tumors, he is conceptually poor, sijui tu hisi positions walizonazo huwa wanapewa kwa kutumia vigezo gani? Unashindwa kuamini kwa level yake na position yake anashindwa kupima athari za matamshi yake kwa umma.
 
Na JK mwenyewe si aina hiyo hiyo. Uteuzi wake unaakisi kiwango chake cha akili, busara, hekima, nk. Hadhi ya urais imeshguka, hadhi ya uwaziri ndiyo hiyo akina Lukuvi na Mchemba, nk.
Kweli mkuu yaani vurugu mechi .kwa mtaji huu nimeamini hata bila rais tungekuwa mbali sana
 

Da! Tulia basi unapoandika.
 
Lukuvi amemzalilisha rais aliyemchagua kukaa kwenye kile kit anachokalia
 
Lukuvi ni mgonjwa anayetumia dawa kali sana , inawezekana zinamuathiri kiakili na kumpelekea kuropoka na kupanga njama za umwagaji damu ilimradi ccm ibakie madarakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…