Lulu afungukia mahusiano yake na DJ Majay

Lulu afungukia mahusiano yake na DJ Majay

Wakamuulize kwanza Nargis Mohammed kuhusu huyo Majey, kisha ndio waanze kujitangaza.
Majey ni kama amekuwa na hasira na hawa watoto wa kike wa hapa mjini, alimvunjia uchumba Nargis kwa Masoud Kipanya ambaye tayari alishampiga talaka mkewe Mama Malcom ili amuoe Nargis.
Kipanya hana hamu na Majey hata kidodo, hadi alimfanya akengeuke kwenye dini yake.
Ila Kipanya alipata nafuu baada ya kusikia Majey kamtosa pia Nargis.

Ova
MAMA TAJIRI--MAJAY-NARGIS-MASOUD-????? NI KAZEZE.
 
Mshindi wa tuzo ya AMVCA 2016, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amefunguka na kuelezea mahusiano yake na CEO wa EFM, Dj Majay baada ya hivi karibuni kuonekana kuwa karibu zaidi.
Akizungumza katika kipindi cha Friday Night Live cha East Africa Television Ijumaa hii, Lulu alisema kama ni kweli yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na Majay basi mashabiki wake watasikia taarifa za ndoa.
“Ninaweza nikasema ndio wakati sio kweli na ninaweza kusema hapana wakati ni kweli, lakini kikubwa zaidi kimaadili ya kitanzania, kimaadili niliyofundishwa mimi, mchumba hatangazwi, ndoa ndiyo inatangazwa,” alisema Lulu.
Aliongeza, “Kama ni kweli ndoa itakuja na watu wataona, lakini siwezi kutangaza wakati bado hatuna mikakati ya ndani zaidi.”
Majizo anawabandua tu halafu anapenda vitoto tu , Ila jamaa nadhani Labda Kondomu hatumiii, kamdhalisha Hamisa Mabeto Sasa yupo na Lulu , halafu hataki kabisa Watu wazima wenzake
 
Hawa watoto hivi wanajua hali ya afya ya yule mama ambaye majay alikuwa akiwekwa mjini ambaye baadae alikuwa share na tajiri wa majay maisha club? ?? Waangalie picha za Mr nice za zamani na leo kabla hawajaanza kutambiana kwenye mitandao. ..mdudu yupo wasilete masihara
Mhhhhhhh hadi nimeogopa,mjini hapa sio pa kuchezea kabisaaaa.
 
Back
Top Bottom