Wee nimeacha asee mkuu...mi hata ukinitukana yaan nakimbia speed ya usain bolt[emoji23] [emoji23]Umeacha sasa, hahaha mabinti mkiwa wazuri na vijisent mnajiona kama miungu watu
Hapo safi aisee sasa wewe ukisema umeacha unakua umeacha kweli kuliko wale ambao hawajapitia hayo wakala bakora hao uwa wanatoka kwenye utulivu wanakuwa mcharuko ukubwani.Wee nimeacha asee mkuu...mi hata ukinitukana yaan nakimbia speed ya usain bolt[emoji23] [emoji23]
Nimekuwa mtu safi, siendeshwi na mambo ya dunia tena, after all najua wote tunapita, na rehema za Mwenyezi Mungu naziona baada ya kubadilika!
es atakuwa huru kabisaa hapo nimemkubaliKwa ufupi
Asema atakuwa huru baada ya kutumikia adhabu hiyo kwa sababu ni mipango ya Mungu
By Kalunde Jamal, Mwananchi
Imeelezwa kuwa baada ya msanii Elizabeth Michael kusomewa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela, aliwaambia ndugu zake wasikate rufaa kwa kuwa kilichotokea ni mipango ya Mungu na yupo tayari kukabiliana nayo.
Msanii , Muhsin Awadh maarufu Dk Cheni ambaye amekuwa karibu na mwigizaji huyo katika kipindi chote amesimulia hali ilivyokuwa muda mfupi baada ya jaji kutoa hukumu hiyo.
“Kusema ukweli Lulu alijua lolote linaweza kutokea ila la kufungwa ni kama hakulipa kipaumbele sana, jaji alipomaliza kusoma hukumu alishtuka kama sisi wengine wote lakini ajabu alikuwa wa kwanza kurudi katika hali ya kawaida na kutoa kauli za ujasiri,” anasimulia Dk Cheni
Lulu alisema: "Sipingani na maamuzi ya Mungu, haya ni maamuzi yake na nimekubaliana nayo. Ana makusudi yake kunipa hiki kilichotokea leo".
Anasema kingine alichowaambia ni kuachana na masuala ya kukata rufaa kwa sababu bado hatakuwa huru: "Acheni miaka miwili siyo mingi, sitaki kupingana na mahakama , naheshimu maamuzi ya mahakama, acheni nitumikie kifungo changu. "
Mapema wiki hii mwigizaji huyo alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua bila kukusudia mwigizaji mwenzake Steven Kanumba, Aprili 7,2012.
CHANZO: Mwananchi
Mbona 'alishamrudia' siku nyingi au hujui mlokole yule
Hahahaa ulokole wa kizazi kipya. Kuna dhambi zingine watu wameona wawe wanajisamehe tuHivi ni mlokole? duh, ulokole ni mrahisi siku hizi? kuna mtu amefaya updation ya biblia nini?
We acha tu...yaani mi adhabu yangu niliadhibiwa na yeye direct sio walimwengu wala nini! Yaani mpaka nikaogopa!Hapo safi aisee sasa wewe ukisema umeacha unakua umeacha kweli kuliko wale ambao hawajapitia hayo wakala bakora hao uwa wanatoka kwenye utulivu wanakuwa mcharuko ukubwani.
Hope Lulu akirudi uraiani atakuwa mtu safi sana.
Sijui Majizo atamaubiri au atamkuta ashapata mtoto mwingine na giggy
I do hope so!We acha tu...yaani mi adhabu yangu niliadhibiwa na yeye direct sio walimwengu wala nini! Yaani mpaka nikaogopa!
Usiombe watulivu wakianza micharuko ukubwani kurudi hali yake ya kawaida ni ngumu asee!
Majizo anaweza mvumilia miaka miwili sio mingi kama kweli anampenda
Yaan Lulu ashakua na roho ngumu sanaSijakusoma ujue
NA SHIDA YAKE KUBWA NI KIU AMBAYO ANAENDELEA KUKATIWA BILA SHIDA WAKATI WA MATEMBEZI YA WADAU.BORA ABAKI GEREZANI NA ATATUNGA MUVI NYINGI AKIWA KULEKwa ufupi
Asema atakuwa huru baada ya kutumikia adhabu hiyo kwa sababu ni mipango ya Mungu
By Kalunde Jamal, Mwananchi
Imeelezwa kuwa baada ya msanii Elizabeth Michael kusomewa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela, aliwaambia ndugu zake wasikate rufaa kwa kuwa kilichotokea ni mipango ya Mungu na yupo tayari kukabiliana nayo.
Msanii , Muhsin Awadh maarufu Dk Cheni ambaye amekuwa karibu na mwigizaji huyo katika kipindi chote amesimulia hali ilivyokuwa muda mfupi baada ya jaji kutoa hukumu hiyo.
“Kusema ukweli Lulu alijua lolote linaweza kutokea ila la kufungwa ni kama hakulipa kipaumbele sana, jaji alipomaliza kusoma hukumu alishtuka kama sisi wengine wote lakini ajabu alikuwa wa kwanza kurudi katika hali ya kawaida na kutoa kauli za ujasiri,” anasimulia Dk Cheni
Lulu alisema: "Sipingani na maamuzi ya Mungu, haya ni maamuzi yake na nimekubaliana nayo. Ana makusudi yake kunipa hiki kilichotokea leo".
Anasema kingine alichowaambia ni kuachana na masuala ya kukata rufaa kwa sababu bado hatakuwa huru: "Acheni miaka miwili siyo mingi, sitaki kupingana na mahakama , naheshimu maamuzi ya mahakama, acheni nitumikie kifungo changu. "
Mapema wiki hii mwigizaji huyo alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua bila kukusudia mwigizaji mwenzake Steven Kanumba, Aprili 7,2012.
CHANZO: Mwananchi
Mipango ya Mungu kaamua kumwadhibu kwa aliyoyatenda kwa kumweka gerezani miaka miwili ili akitoka awe amebadirika.
Au umeelewaje wewe?
Na wewe unayepinga je alikwambia siyo mipango yake?Hii mipango unayomsemea Mungu mlipanga wote?