Sambare
Member
- Jul 1, 2017
- 82
- 52
Mungu pia huwa anashiriki kwenye mambo ya uzinzi namna hiyo? Au alikuwa anamaanisha miungu
Yesu Mwenyew hakuja kwajili ya wenye Haki Kama nyny alikuja kwajili ya wenye dhambi Kama lulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu pia huwa anashiriki kwenye mambo ya uzinzi namna hiyo? Au alikuwa anamaanisha miungu
Kwa hiyo Mungu alipanga yeye amuue Kanumba,aende jela? Huyo Mungu au taahira.
Ndio maana wengine tunasema Mungu au anaeitwa mungu hayupo. Kama ujinga wote unaotokea duniani ni mipango yake basi huyo atakua taahira.
Mwenyenzi Mungu Mkuu..ndie aliyemtuma akafanye ngono bado mdogo..aende Night club bado mdogo..mwambieni achaa upumbavu mkubwa wakumshirikisha Mwenyenzi Mungu na uchafu wake
Hayo yaliyomtokea ni mipango ya Mungu kweli. Uenda alimhasi sana ndio maana amempa fundisho ili ajirekebishe na hiyo funzo kwa wengineMwenyenzi Mungu Mkuu..ndie aliyemtuma akafanye ngono bado mdogo..aende Night club bado mdogo..mwambieni achaa upumbavu mkubwa wakumshirikisha Mwenyenzi Mungu na uchafu wake
mungu wa ccm.Huyo Mungu gani anaye ongelewa na lulu?
Mkuu maswali yako ni sahihi sana.. Ila unakosea Kilichotokea kwa lulu ni hila za shetani tu.. Na kama ni majaribu pia yametoka kwa shetani ila Mungu kayaruhisu yatokee kwao.. Na ndio maana hata Ayubu Alijaribiwa na shetan ila kwa ruksa kutoka Kwa Mungu..Wewe ni msafi?
Kwahiyo yeye kwenda jera ni mapenzi ya shetani?
Ulitaka aseme nakubariana na mapenzi ya shetani?
Kuna kosa mtu kubadirika na kuanza kumtegemea Mungu?
Kwa hiyo Mungu alipanga yeye amuue Kanumba,aende jela? Huyo Mungu au taahira.
Ndio maana wengine tunasema Mungu au anaeitwa mungu hayupo. Kama ujinga wote unaotokea duniani ni mipango yake basi huyo atakua taahira.
Kitendo cha Mungu kuyaruhusu basi ni mapenzi ya Mungu maana angeamua angeyazuia.Mkuu maswali yako ni sahihi sana.. Ila unakosea Kilichotokea kwa lulu ni hila za shetani tu.. Na kama ni majaribu pia yametoka kwa shetani ila Mungu kayaruhisu yatokee kwao.. Na ndio maana hata Ayubu Alijaribiwa na shetan ila kwa ruksa kutoka Kwa Mungu..
Uliza maswali kama mtu mwenye akili.Alimuua uliona ??? Aue Afungwe miaka 2???
Nawe uko nyuma ya nondo?Nami nakaribia kua na moyo mgumu kama wa lulu
HapanaaNawe uko nyuma ya nondo?
Mkuu Mungu yupo lakini watu wengi hupenda kufanya maukinga yao alafu wanasingizia mpango wa Mungu lakini pia ujinga unaofanywa unaratibiwa na mungu wa herufi ndogo "m" sio Muumba Mbingu na Nchi ...Kwa hiyo Mungu alipanga yeye amuue Kanumba,aende jela? Huyo Mungu au taahira.
Ndio maana wengine tunasema Mungu au anaeitwa mungu hayupo. Kama ujinga wote unaotokea duniani ni mipango yake basi huyo atakua taahira.
Very true mkuu..Kitendo cha Mungu kuyaruhusu basi ni mapenzi ya Mungu maana angeamua angeyazuia.
Mfalme Daudi alipochukua mke wa mtu na kumfanyia hila ili afe vitani apate kumuoa mkewe, Mungu alimuadhibu kwa kumuua mtoto aliyezaliwa ili apate funzo asije rudia kosa hilo.
Mungu ana njia nyingi za kuturudisha kwenye mstari.
Mungu hayupo. Mungu anaefurahia watu wake kupata shida hayupo au akili yake sio nzuri.Mkuu maswali yako ni sahihi sana.. Ila unakosea Kilichotokea kwa lulu ni hila za shetani tu.. Na kama ni majaribu pia yametoka kwa shetani ila Mungu kayaruhisu yatokee kwao.. Na ndio maana hata Ayubu Alijaribiwa na shetan ila kwa ruksa kutoka Kwa Mungu..
Sijakusoma ujueHapanaa
Ulifanya nini na yakakupata yapi mkuu?Very true mkuu..
Mi mwenyewe ni shahidi nishanyooshwa asee, sina hamu
Ujeuri ujeuri tu hapa mjini si unajua usistaduu afuu uwe na vihela hela...basi full tafrani, mwanzo niliisikia ile sauti ndogo ikiniambia niache " umapepe" ( kwa wakristo tunasemaga ni roho mtakatifu) mi nikawa napotezea tu....ile sauti ya ushawishi ambayo inakuwaga na nguvu ndiyo nikawa naifata kumbe najichimbia kaburi, yaliyokuja nikuta ni sina hamu mkuuUlifanya nini na yakakupata yapi mkuu?
Umeacha sasa, hahaha mabinti mkiwa wazuri na vijisent mnajiona kama miungu watuUjeuri ujeuri tu hapa mjini si unajua usistaduu afuu uwe na vihela hela...basi full tafrani, mwanzo niliisikia ile sauti ndogo ikiniambia niache " umapepe" ( kwa wakristo tunasemaga ni roho mtakatifu) mi nikawa napotezea tu...yaliyokuja nikuta ni sina hamu mkuu
Yaani nilinyooshwa mpaka nikajua kabisa kwamba hii ni bakora from Sir God..