algorithim
JF-Expert Member
- Aug 29, 2016
- 878
- 909
sheria ifuate mkondo.. asipewe upendeleo kwa kua ni mtu maarufu kwa hapa Tanzania kuna huo upuuzi, huko majuu celebrities wakubwa i.e Tyson wamekaa magerezani.. sheria ufuate mkondo kama huko majuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawasomi biblia aseeMipango ya Mungu kaamua kumwadhibu kwa aliyoyatenda kwa kumweka gerezani miaka miwili ili akitoka awe amebadirika.
Au umeelewaje wewe?
Kwa hiyo Mungu alipanga yeye amuue Kanumba,aende jela? Huyo Mungu au taahira.
Ndio maana wengine tunasema Mungu au anaeitwa mungu hayupo. Kama ujinga wote unaotokea duniani ni mipango yake basi huyo atakua taahira.
Kwani kaua au kaua bila kukusudia?Hujamuelewa, na ni kweli pia mtu kwenda jela ni mapenzi ya Shetani,, sasa Mungu gani anayemshauri mja wake kuua?
Alafu kuna watu wako Jela Miaka 8 bila kusomewa hukumu yaoooSisi wengine tumekaa jela miaka sita kwenye shule za boarding za serikali! Tukila ugali wa dona na maharge yasiyo na ushirikiano ila mwisho wa siku tulitoka. Tulifanya kazi ngumu ikiwa ni pamoja na kusoma vitabu vigumu vya mzungu kwa lugha isiyoeleweka eti wanaiita kiingereza. Hakuna marefu yasiyo na ncha. Cha muhimu awe strong, miaka miwili sio mingi kivilie!
Mbona 'alishamrudia' siku nyingi au hujui mlokole yuleThis is nonsense, inaweza kuwa ni mpango wa Mungu yeye kufungwa ili amrudie Mungu!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kashakutana na wajanja jela wamemwambia mvua 2 sio Inshu dogo. Utasumbiliwa kukata rufaa mwaka mzima. Mwisho wa siku miaka 2 inapita unawekwa tena ndani miaka minne. Segedance mbona kiroho safi tu. Pale ni kazi za usafi, kuchota maji then saa kumi na mbili kulala. Week end wakina muna wanampelekea mikuku anakula weeee, akitoka full kunenepa tu.
Wabongo wanachukulia simple simple atakua haendi ulayaAngeshauliana na wakili wake kwanza hapo akitoka atabaki na criminal rekodi mbaya. Mbeleni ataijutia hio rekodi hasa akitaka fanya kazi nchi za watu
Kama wewe ni mkristo kasome habari za Yusufu, jinsi Mungu alivyoruhusu akae jela kule misri!!Aache ujinga Mungu ndiyo apeleke watu wake jela..?? Tena akome kumsingizia huyo Mungu uzinzi ulioletelezea haya asijue ni kazi na mpango wa shetani eti lawama apelekewe Mungu, mshahara wa dhambi ni mauti na mateso km jela avumilie asitafute huruma ya kijinga.
Ajaribiwi wewe, maandiko yanasema Mungu hamjaribu mtu bali tamaa miili yetu, Mungu hajawahi kumpa mtu jaribu kubwa la kumshinda uwezo wake mtu.Kama wewe ni mkristo kasome habari za Yusufu, jinsi Mungu alivyoruhusu akae jela kule misri!!
So, mwache Lulu aseme huo mpango wa Mungu, haina madhara
ndugu umefikiria sana aisee, yaani boarding za miaka hiyo daah, kazi ngumu, ukija kwenye kula harage lina funza na kama halina funza unakula harage kama unakula karanga, ukija dona limejaa funza na nyuzi nyuzi, aisee yale yalikuwa ni mateso kwa kweli, asubuhi kuamshana mchakamchaka, we acha tu
Sisi wengine tumekaa jela miaka sita kwenye shule za boarding za serikali! Tukila ugali wa dona na maharge yasiyo na ushirikiano ila mwisho wa siku tulitoka. Tulifanya kazi ngumu ikiwa ni pamoja na kusoma vitabu vigumu vya mzungu kwa lugha isiyoeleweka eti wanaiita kiingereza. Hakuna marefu yasiyo na ncha. Cha muhimu awe strong, miaka miwili sio mingi kivilie!
Sasa yeye limemshinda wapi? Wakati kasema kakubari akakar jera.Ajaribiwi wewe, maandiko yanasema Mungu hamjaribu mtu bali tamaa miili yetu, Mungu hajawahi kumpa mtu jaribu kubwa la kumshinda uwezo wake mtu.
Mwenyenzi Mungu Mkuu..ndie aliyemtuma akafanye ngono bado mdogo..aende Night club bado mdogo..mwambieni achaa upumbavu mkubwa wakumshirikisha Mwenyenzi Mungu na uchafu wake