Sambare
Member
- Jul 1, 2017
- 82
- 52
Mungu hayupo. Mungu anaefurahia watu wake kupata shida hayupo au akili yake sio nzuri.
Kama sisi binadam tunajua kabisa maisha ya jela sio mazuri, jela ni mateso alafu Mungu afurahia kiumbe chake kiende huko kupata mateso basi huyo mungu sio mzima.
Lengo lake ni nini hasa kama anaruhusu mtu wake apate matatizo na mwisho wa siku afungwe au auwawe, yeye anapata faida gani? Anafurahia nini kuona mtu anapata shida.
Haya mambo ya mungu ni hadithi tu za abunuasi, hakuna uhalisia.
Ujuaji mwngne [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]..kasome hadithi ya Ayubu uone mwenyew Mungu alivyoruhusu ajaribiwe..Mungu hachunguzk Ana mipango yake