Lulu amtusi mama yake Kanumba, amuita KUBWA JINGA

Hajafanya vizuri Lulu, ila mama Kanumba pia aachane tu na hako katoto maisha yaendelee
 
Mimi sio shabiki wa huyo Lulu. Kwa nini huyo mama kila siku ni kulalamika tu? Au alitaka Lulu awe anamnyenyekea kwa kila kitu? Kuishi kwa kutegemea posho za magazeti ya Shigongo ni ujinga
 
Asilani sitaki kusikia magazeti ya Shigongo wala Shibangi.
 
Ila haka kabinti ni kiburi, kiburi kitupu hata uso wake unaonyesha hivyo.
 
wakati lulu ana mahusiano ya kimapenzi na kanumba ilikuwa siri kiasi kwamba ht mama kanumba hakujua ila baada ya lulu kutoka rumande ushoga ghafla ukaibuka kati ya lulu na huyo mama nilikuwa najiuliza wanazungumza nini mtu na mjukuu wake!!kitu km hicho nilikitegemea
 
Huyo mama nae arudi kijijini tu, huku mjini hapamtoshi
Nakumbuka alivyokuwa anagida mayi kipindi kileee wakati ndo mwanaye amefari na kumtolea maneno ya kashfa Baba Kanumba, ila ni kweli alitegemea Lulu atamsaidia kimaisha lakini Lulu anamkwepa.
 
Walimtumia huyu mama kumsafisha lulu kipindi ambacho kila mtu alikua na hasira nae ila yameisha leo anamuita huyo mama, lazima mama wa watu aumie katumika na kuachwa
 
Hivi kesi yake imeishaje bado mtuhumiwa huyu mtoto asie na nidham
 
Bado natutafuta kosa la Lulu sijaliona mtu akiliona anishtue
 
Hivyo ile kesi iliishaje?
 
Mpaka leoo najiulizagaa Kanumbaa Alitelezaaa alisukumwaa au alikufaa kwa wivuu Wa kimapenziii..turudii nyumaa Kanumba kutembeaa Na Katotoo ni kosa..Mungu Akamwadhibuuu kwa kufichuaa yaliyokuwaaa mafichoni...tungejuajeeee
 
Waandishi wanaume wa magazeti ya Shigongo wanakilisha wanaume wa Dar. Ila hii mbona ni story tu kama story zingine za Wema kununua nyumba ya mil 400. Huyo mama mbona hajatoa ushahidi wowote kwa waandishi..? Na waandishi wanaandikaje bila kuwa na ushahidi..?
 
Mimi ningekua mama Kanumba Lulu nisingemuacha nisingeweza kua mnafiki huku moyo unauma
Hata mimi aisee yani, alitakiwa ale nae sahani moja ili apate haki ya mwanawe, nina uhakika hata hajui what happened in that room, on that day, yaani eti akawa urafiki na mtu anayehusika na kifo cha mwanae, hapo alibuug step.Aangekomaa lazima lulu angekula miaka kadhaa jela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…