Lulu apigwa kibuti na kunyang'anywa gari baada ya kuposti picha yupo na bwana mwingine

Lulu apigwa kibuti na kunyang'anywa gari baada ya kuposti picha yupo na bwana mwingine

Lulu kapigwa chini sababu sio hiyo picha anatoka na mtu mkubwa tu wa hapa nchini sasa hao mapedezee wameogopa
 
Mmh sina hata cha kusema jamani. Lulu, u are too young and beautiful, please rudi shule au jitafutie biashara zako mwenyewe. Unaweza kuishi bila kutegemea huruma za mapedeshee.

Shule ataiweza vipi na yeye alishaonja tunda?labda akatafute degree ya chupi!
 
Mbongo movie lulu yasemekana amepigwa kibuti na mapedeshee wake waliokua wanamuweka mjini
Yule wa Mererani na yule wa tmt.
Yote ni baada ya kuweka picha instagram akiwa na kiserengeti boy chake hivyo wafadhili wote wakamtema na kunyang'anywa kadi ya gari maeneo ya kibo palace hotel bibie akashusha kilio kikali cha majuto.
Pole lulu mkifadhiliwa mfadhilike
We bnti mdogo sana rudi shule my dear uwezo wa kusoma unao
Kuna leo na kesho kwa nini ukubali kudhalilisha mwili wako hvyo!

Post za kipumba.vu kama hizi zinajaza severs za JF tu. ...

Napita
 
Lulu anasoma jamani au mpaka aweke mapichapicha ya shule muamini
 
Back
Top Bottom