Lulu apigwa kibuti na kunyang'anywa gari baada ya kuposti picha yupo na bwana mwingine

Lulu apigwa kibuti na kunyang'anywa gari baada ya kuposti picha yupo na bwana mwingine

Mbongo movie Lulu yasemekana amepigwa kibuti na mapedeshee wake waliokuwa wanamuweka mjini, Yule wa Mererani na yule wa tmt.

Yote ni baada ya kuweka picha instagram akiwa na kiserengeti boy chake hivyo wafadhili wote wakamtema na kunyang'anywa kadi ya gari maeneo ya Kibo Palace Hotel bibie akashusha kilio kikali cha majuto.

Pole Lulu mkifadhiliwa mfadhilike,We bnti mdogo sana rudi shule my dear uwezo wa kusoma unao Kuna leo na kesho kwanini ukubali kudhalilisha mwili wako hvyo!

Mhhh! kama ni kweli basi hawa watoto wanaishi maisha mabovu sana.
 
kiss-my-ass.gif
kiss-my-ass.gif
kiss-my-ass.gif

ki$$ my *$$!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????
 
Back
Top Bottom