umewaza mbele ya muda...una akili sanaIpo siku Lulu atatolewa gerezani kabla ya muda wa kutoka haujafika.. Ili kunogesha siasa.
Hii ni nchi yangu Cpati shida kuijua.
hahaaaa mbwa kala mbwa"" naona umemstahi kwakuwa ni shoga yako otherwise nae angeyaoga..hahaaa. kumbe huwa mnalindana daaahTofali shoga angu mweeeee umenichamba rafiki yakooo
hahaa humu kuna visa ...Nyapu uuze wewe utusingizie sie chefuuu mxiiiewwwww
hahaaa eti balozi wa nyapu"" daahh ..tena hawa wote ni wanawake wenzangu ADUI WA MWANAMKE NI MWANAMKE MWENZIE...wivu tu umejaa...ndo kusema lulu hana pesa...tena lulu anawashimda kwa ubalozi...
wao ubalozi wao wa nyapu tu..mxiuu
Ila very nice nimekupenda bure ulivyoreact.Imependeza kwakweli tofali naye atakuwa amecheka tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheka tu mwayaa tofali huyuu huyuuu nimekosa cha kumjibu
Ahahahahah inategemea tu lakin Tofali mpole sana japo kanijibu kikauzuhahaaaa mbwa kala mbwa"" naona umemstahi kwakuwa ni shoga yako otherwise nae angeyaoga..hahaaa. kumbe huwa mnalindana daaah
Hakajui haka ka id anaijua ile nyingine tu jamooniIla very nice nimekupenda bure ulivyoreact.Imependeza kwakweli tofali naye atakuwa amecheka tu
wewe bwana ako ashawah kupa pesa ht ya kuwapa pipi yatima...acha wivu..hapo unataman majizo angekua bwanakoSi majizo katoa tu pesa kumpaishaa
nakukumbusha tu shoga upunguzeko.ka wivuuuTofali shoga angu mweeeee umenichamba rafiki yakooo
Na raha ya haya mambo ubishane aisee.Hahahahaha zile video zilinchekesha maana mdis mawingi mama ake,dada ake wote wateja wazuri wa mawigi,mchezaj mmoja wa hio three some nae mvaa wigi hodar aiseee
Msinipende bana ntakosa wa kubishana nae hahah
Na raha ya haya mambo ubishane aisee.
Alafu ukikaa unacheka tu.Tena mapovu ya nguvu
Alafu ukikaa unacheka tu.
Unajua mi shoga ako kabisa wa kufa na kuzikana sema haka id hukajui shogaanakukumbusha tu shoga upunguzeko.ka wivuuu
Hawa Viumbe hawatabiriki,usije shangaa akitoka jela anakamatwa na MARLEYDOLLARS wa Msumbiji.Pesa za majizo hizo,jamaa anajitahidi kweli kuilea familia ya lulu na jina la lulu. Hope bidada akitoka gerezan atajituliza kama shukran kwa jamaa anavyomtunzia jina
Kweli unampendaga maana huishi kumsifiaHata kama yupo Gerezani na alikuwa na matatizo yake ila hadi hivi sasa bado sijaona Mwanamke hapa nchini Tanzania anayefikia Urembo / Unyange wa Elizabeth Michael alias Lulu. Wanawake wengi wa Tanzania ni ' Beautiful ' tu ila huyu Lulu ni both ' Pretty ' and ' Photogenic ' wa Kutukuka.
Jamani pole kwa Ban!haya
Kweli unampendaga maana huishi kumsifia
Si umuoe?