Lulu Diva ni Pisi iliyosimama

Lulu Diva ni Pisi iliyosimama

NI WA KAWAIDA SANA, ila hizo effects za urembo amekuwa kama MDOLI tu, my wife and concubines are more gorgeous than this scrap and artificial beauty
Usimwite scrap mzee...unao concubines wangapi?
 
Maelezo yasiwe mengi huyo hapo mrembo mmoja anajiita sexy Diva au sio mazee.

==

Lulu Diva ni msanii maarufu wa muziki Tanzania, anayejulikana kwa sauti yake ya kipekee na uimbaji wake wa kuvutia.

Alijipatia umaarufu mkubwa kupitia nyimbo kama "Ona" na "Alewa," ambazo zimekuwa na mafanikio makubwa katika tasnia ya muziki wake wa Bongo Flava.

View attachment 3171319View attachment 3171320View attachment 3171321
Kuna KAMPUNI ya Magari ya Italy , inaitwa Alfa Romeo , slogan yao wanakuambia, Beauty Is not Enough
 
We jamaa😂😂 si bora hata cocastic
1000792136.jpg
 
Back
Top Bottom