Lulu Diva ni Pisi iliyosimama

Lulu Diva ni Pisi iliyosimama

Media huwa zinakuza sana status za mastaa wake, uswazi na mitaani kuna pieces kali balaa kushinda hao wa mitandaoni, ni vile tu hawapati coverage.
Kama ingefanyiwa ligi huyo lulu ningempambanisha na pisi yangu moja ya uswazi, naamini lulu angejificha.
 
Yes ndo alimpa maisha mjini Lulu alichora mpaka tatoo ya joho mkononi, video zake za kwanza za muziki wake ali shoot south, aliita mpaka waandishi wakaone nyumba aliyopangiwa na magari aliyonunuliwa na mheshimiwa. kumbe ilikuwa nguvu ya Yasss 🏃‍♀️
Kumbe Joho ndo alikua anammixx by nyash Lulu?
 
Media huwa zinakuza sana status za mastaa wake, uswazi na mitaani kuna pieces kali balaa kushinda hao wa mitandaoni, ni vile tu hawapati coverage.
Kama ingefanyiwa ligi huyo lulu ningempambanisha na pisi yangu moja ya uswazi, naamini lulu angejificha.

Halafu za mtaani ni zile za asili kabisa.
Utakuta hawapaki Poda wala losheni wala kuvaa mawigi.
Ni kusuka nywele za asili bila hata rasta, mafuta ya kawaida au hata ya kupikia na kuoga wakajua kujisugua makwapani vizuri hata pafumu hawahitaji kutumia.
Napenda sana wanawake wenye uasili na huwa si Watu wa tamaa na kuwatia stress wanaume.
Wanajua kuridhika na kidogo na kushukuru.
Na wana heshima na adabu.
 
Aliyegundua hivi bra za butterfly na booster jumlisha yule wa filters hao ni motoni....nikihesa hhela nilizopoteza alooo ningekuwa nilishakuoeleka dubai for holiday

Ni kama vigodoro.
Siku hizi vimeshika kasi vinauzwa na kutangazwa hadharani hwaoni hata aibu.
Wanaume wanaibiwa sana kwa njia ya utapeli
 
Ni kama vigodoro.
Siku hizi vimeshika kasi vinauzwa na kutangazwa hadharani hwaoni hata aibu.
Wanaume wanaibiwa sana kwa njia ya utapeli
Na nyingine nimeona juzi hadi hizi camel toe nazo zipo feki...mzeya unaweza sema dah hii mbusuus ina mashavu yamenona...eeh ukiingia graundi kwenye me hi pendwa unakutana na mlepwetoz
 
Back
Top Bottom