Lulu Elizabeth, Jackline Wolper waoneshana jeuri ya mabwana!

Lulu yuko kwenye msiba mzito leo

Kawachambaje Uko ..et tulikuwepo kumpanua miguu kuwa alilala na komba?.. nimeona maiti ya kombaa khaaaa ni shidaa sio sura hadi nikatamani kucheka mungu anisamehe safar yetu sote mbele yake nyuma yet.

Vp huendi kwenye msiba nikupitie? Maana nampango Wa kwenda sina Wa kupiga nae umbea...
 
Ina maana hawaridhiki na wanachokipata??

mmmh ila Shigongo nae huwa mbeyaaaa!!! Loh!!
 
Were is my money. ..were is my honey ......watoto hawapendi safari .....huwezi fika bila msoto mkali. ..Joe-Makini ft Niki huu wimbo una maana kubwa sana ukiuelewa.
 

Wataona tu kitakachowatokea uzeeni,acha wapete kwa sasa,Shetani analubuni watu kwa kasi ya fast jet.
 
Hawa wadada wanawadhalilisha wanawake wenzao kwa kweli......na sidhani kama wanatumia kichwa kufikiri labda wanatumia papuchi zao kufikiri......
 
Prado na rav 4 na nyumba ya 2 ml. watu wamefungua thread!¡!"
 
Ujinga kabisa mafanikio yanapimwa kwa nyumba Za kupanga ..Hiyo milioni 30 si unaanza Majengo ......hawa mabint sijui Wachagga wa wapi WANACHEZA na pesa aiseee

Izo pesa wangekua wanapanga mbagara zinazobakia wanalipua mijumba ya kwao wenyewe ingekuaje
Kuliko kusubir kufukuzwa

Mimi ndio maana huwa nawakubali sana wasanii wa uganda hawana mbwembwe wao huwa wanashindana kwenye vitega uchumi huku wanashindania magari na nyumba za kupanga hovyo kabisa.
 
Nawaonea huruma sn,cjui papuchi zao zina hali gani kwa kubadili kila aina ya size,kweli wanatumia uchumi waliopewa na Mungu ipasavyo kabisaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…