Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Kafiwa na MTU wake leo anaitwa Seki, mwana Apollo Arusha Huko, ndiye aliyekuwa anampa jeuri mjini hapa
poa amu mdogo wangu, wanadai they were together when the guy passed away leo jioni. Khaaaaa namhurumia
Lulu ana gundu kwakweli. .mwingine kaanguka
Kafiwa na MTU wake leo anaitwa Seki, mwana Apollo Arusha Huko, ndiye aliyekuwa anampa jeuri mjini hapa
Aiseeh ana mabalaa makubwa kweli, sijui uko alipo yupoje, mbaya zaidi mume wa mtu, vifo vinamuumbua sana, lulu ni msiri sana ila vifo vinaumbua siri zake, dah kodi ikiisha sijui ataenda wapi maskini