Lulu (Elizabeth Michael) awaogopa Wachawi kumtaja aliyemtundika Ujauzito wake

Nakumbuka lulu amemzawadia mama yake Nyumba siku ya birthday ya mama yake majuzi ataenda ishi na mamaye
 
Le Mutuz ni namba ingine kabisa. Jana anapiga selfie eti ..."on my way to Motuary to see my bro Seky".... yaani on your way to motuary na bado selfie ya nguvu na smile!!!
 
Le Mutuz ni namba ingine kabisa. Jana anapiga selfie eti ..."on my way to Motuary to see my bro Seky".... yaani on your way to motuary na bado selfie ya nguvu na smile!!!

hahahaaaaaa
yaani ht mi sikimuelewa
 
Hehebebe haya wanaume muwe makini na ugonjwa wa GLU gonga lulu ufe
 
Umeona eti kaweka picha yupo kwenye msiba analia kaficha USO Sijui alimwambia Mtu ampige picha ...watu kwa kupenda sifa.

Huyo mzee anajua akili yke ilivyo hivi picha inakusaidia nini utakuta kaenda hpo kuuza sura 2
 
Le Mutuz ni namba ingine kabisa. Jana anapiga selfie eti ..."on my way to Motuary to see my bro Seky".... yaani on your way to motuary na bado selfie ya nguvu na smile!!!

Huyo mzee instead aseme anaenda kumwona mwanae anasema bro wakati seki atakua kwenye 32 au 34yrz
 
Dunia ina maajabu sana aiseee, yaani mtu unamuacha mkeo kisa Lulu!!

ushamba ni kitu kibaya sana...ule hautoki kwa hela...watu kibao wanahela ila hawafanyi maujinga haya...na sio kwamba hawachepuki ila ni kimya kimya...cheki sasa anavyoaibika...msiba utajaa machangudoa.
 
Huyo mzee instead aseme anaenda kumwona mwanae anasema bro wakati seki atakua kwenye 32 au 34yrz
Huyu mzee Le mutuz nyie hamumjui ni kuwadii mbaya saana..usikute ndo alimkuwadia Al Marhum seki kwa haka ka lulu.. si kuna wakati aliwahi kukasifia sana kwenye blogu yake , wale wabebeez wengi wao ni anakuwadia kwa mapedejee...mtu mzima hovyooo...hana hata chembe ya aibu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…