Lulu (Elizabeth Michael) awaogopa Wachawi kumtaja aliyemtundika Ujauzito wake

Huku msibaninkuna mipapa tu.Unaweza ukaja msibani masikini ukaondoka tajiri.

By the way..mbona huko insta wanasema..jamaa kaunguka kwake, na alikuwa ktk jitihada za kumwokoa mwanae.
 

Umalaya wa siri ndio haujulikani? Acha kujidanganya
 
Malaya mbwa kabisa, badala kufanya kazi linaharibu ndoa za watu, anataka makubwa ndio maana yanampata makubwa

umeona eeehhh
kazi kutaka waume za watu mxiuuuu
najaribu kupata picha maumivu ya huyo mkewe yalivyokua na show off za lulu
inauma sana
haya sasa tuone
 
Maskini lulu anaambulia maumivu tu arithi ata kijiko manina, raha zote zimemuisha

Jamaa alikua anaishi mbezi beach istoshe kaacha nyumba z kutosha n account z maana kwa familia yake.mkewe n msomi anafanya wizara ya habari nae alikua geologist mkuu w tanzaniteone .hiyo picha ya ajali umetumiwa ni ajali ya nini gari au
 
Alipata 4 billion akaacha mke, akaanza ku date na lullu, mpaka mauti, hawa wanaume zetu hawa........... Kha!
Ilikuwa more than 4 billion, ila alikuwa mshamba wa pesa, akiwa sehemu anataka aonekane yeye ndiyo yeye, machangu wa high class wamzunguke pande zote, maskini hadi sura yake inanijia, dharau za kutosha.kumkejeli mjane wa rafiki yake aliyemuonyesha milango ya Afgem. Loo rest in peace Seki. Msalimie rafiki kipenzi aliyekutoa na baadae ukamdharau Salum.
 
Hiyo itakua ni picha nyingine aiseeeee ile ajali kichwa kama kimecharangwaa

Umeona eh? Yani umbea huu mwenzio nimetumiwa picha kama kumi zote wanadai ni marehemu yani ni shidaaa, lulu atajuta raha zote haramu zitamtokea puani maninaa
 
Jamaa alikua anaishi mbezi beach istoshe kaacha nyumba z kutosha n account z maana kwa familia yake.mkewe n msomi anafanya wizara ya habari nae alikua geologist mkuu w tanzaniteone .hiyo picha ya ajali umetumiwa ni ajali ya nini gari au

Ya gari yap, mtu kaminywa vibaya kichwa kimepasuka vbaya, picha inatisha sana, wanadai ni yeye

Ila lulu alimtumia vzur marehemu alikuwa anasoma pale magogon mwaka huu ndo anaingia diploma kama alifaulu, dah inauma sana kuondokewa na mtu muhimu, ni zaidi ya mlezi maskini
 
kuna hotel inajengwa pale pembeni kumbe ndo ya mshkaji?
pale st.gasper pembeni?!
 

Ivi kafa na nini? Duh maana haieleweki,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…