The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,412
- 20,685
Unaongea vitu ambavyo huvijui ndugu, pole sana as eh..kama filamu ingekuwa inalipa kiasi hicho usingesikia habar za mabwana wala kugombania wanaume
Haujui kubali hilo usiishi kwa hisia, hivi unadhani milion 45 kwa maisha ya lulu inaisha kwa mda gani?fanya utafiti wako ujue wanalipwa vipi, usijae hisia, afterall wanalipwa kwa installments