Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

We mzee tulia😂
 
Ndugu yangu wambea huwa hatudharau habari, tunaipokea na kuiweka kabatini kwa matumizi ya baadae.
Hakuna linaloshindikana.
Ila sidhani kama wanaweza kufanya kitu kama hicho 😃 na wanavyo jua kupiga maombi sasa
 
Tobaaaaaa!
Jamani leo ni mmenifurahishaaaa 🤣🤣🤣
Wadau kama wadau, kumbe kuna mbinu mpya ya kujiimarisha sokoni? 🙌🏾🙌🏾
Hizo gym ni mbinu za kujiimarisha sokoni. Wanashindana na watoto wa 2000 wanaokuja kwa kasi. Watoto wadogo, tako kubwa. 🤣


Hiyo exclusive nilipewa na chawa wa don mmoja anayependa kupata huduma toka kwa slayqueen wa Instagram hasa wenye matako makubwa. Don analalamika ni wazito kama karavati 🤣🤣 au kama yale mawe makubwa ya mwanza. Yeye analipia ndege, hoteli, chakula, vinywaji, shopping na posho juu kuja kupata huduma mbovu sana 🤣🤣🤣🤣.

Nilicheka mno 🤣


Ndio maana wanapost wapo gym ili wawe flexible na wepesi. Na wanakuwa wanajimarket kuwa wao ni wepesiiiii sio magogo......fatilia trend ya slayqueen kupost wapo gym kisha unganisha dots.....utajaza mwenyewe
 
Elimu inahusisha both Theories and Practicals.

Hakuna midoli itatumika, ila kuna zana maalumu.

Kama umewahi kudate binti aliyewahi kupata hiyo Elimu jaribu kumuuliza, kuna mbinu maalumu za kumfanya Mwanafunzi aelewe somo 🤗
Ama kweli palipo na wazee hapaharibiki jambo!
Haya ndio mbinu gani tena hizo? 🙊
 
Mbna yule kidampa kauzu kaachana na majjoo, c yupo na m1 ktk kundi la weusi, na ndoa anayo ya kanisaniii??

Baada ya kufuma text ktk cm, ila majjoo ana wivuu balaaa kwa kidampa kauzuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasikia bwana macho ndio babe wake sasa hivi…

Hivi ni mke wa mtangazaji ndio alifuma text zao eeeh?
 
Najipanga huku tunapalilia mahindi na mtama sasa nakimbizana na ngedere .
Nikivuna tu lazima nije "daslamu" nimuone sanchoka ikiwezekana tugawane au anisaidie kutumia hela za mtama Wangu nikiuza.
Ila wanaume mna balaa? Laiti tungepewa uwezo wa kuyajua yaliyo sirini mwa mtu? Sijui mngewaambia nini wake zenu 🤣🤣🙌🏾
 
Ila sidhani kama wanaweza kufanya kitu kama hicho 😃 na wanavyo jua kupiga maombi sasa
Kwakweli niko njia panda! Ngoja nitaangalia namna ya kuingia nalo hili kwa chanzo changu kikuu cha habari nione inakuwaje!
 
Kumbe ndio maana Aunty kaanza kujiimarisha na yeye? Naona soko lilishaanza kuwa gumu kidogo ndio ikabidi hadi aongeze mambo kwa mturuki na gym kachachamaa vibaya mno!

Japo nampenda lakini potelea mbali, hebu nipe taarifa za Hamisa sokoni zikoje? 🤣
 
Kwenye ubora wako
 
Nasikia bwana macho ndio babe wake sasa hivi…

Hivi ni mke wa mtangazaji ndio alifuma text zao eeeh?
Majjoo ndo alifuma text kwa cm ya kidampa kauzu akichat na m1 wa weusi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila wale walivyo cpat picha wakiwa kwa bed, mbombo mgafuu
 
yani hilo dume linakuwa na wivu kwa dume mwenzie! si angekuwa anafukua tu hiyo lulu kama ndo mambo anayoyapenda..........au anapenda na miguno ya kiume.......eboo
Hayo mnayajua nyie wadau, mie mgeni mjini bado nina ushamba 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…