Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Haha du!
 
Na ma bundle yanavyoyeya siku hizi..utafanya niwe na reserve bundle langu kwa ajili ya ubuyu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu mbona kitambo tu anakunya balaa na jizzo kadata na ilo mpaka kaoa
 
Mkuu ila habari zangu huwezi kuzipata aisee.
 
Ndio maana nikasema niliyoandika sio mapya kwa watoto wa mjini/wambea.

Washamba tu ndio wanaleta kelele hapa.
Mm lulu namjua kitambo hiko tupo mbio watoto wa mjini tunapishsna na akina diamond kinondoni afu kitaani Ali kiba na Dully na Chilla na TID ndio mastar kweli kweli
Na husna video vixen aliemaliza kambangwa.
Na wolper video vixen wa HAKUNAGA...
Na vitoto vingine kibao vilivyokua vinasagana na kugongwa na wasanii kwa kisingizio cha uvideo vixen....
Hadi kile cha bongo star search ambacho MNYAMA WA KINONDONI STUDIO ALIKIFIRA KIKAPELEKA KESI MAHAKAMANI,,ILA BAADAE AKAANZA KUIMBA GOSPEL NA KUOLEWA.
NB: WATOTO WA KINONDONI TUNAELEWA.
 
Eeeeeeh, hadi Bela jamani? Ila bora kaokoka kweli dada wa watu.
Na ana maisha yake mazuri na ye mwenyewe mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…