Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Yule atakuja kuniua Babu yenu, maana kwa vile viuno akivileta kitandani si kisukari na presha vitanipanda Mzee wenu πŸ˜œπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Mange kashamsaka huyo Aliyemtongoza Zuchu. Ni kigogo wa CCM mwenye hela🀣🀣.



Nilikuwa nakuhisi wewe mzee 🀣🀣🀣. Maana kuna kizazi cha wazee wa hovyo sikuhizi 🀣
 
Mange kashamsaka huyo Aliyemtongoza Zuchu. Ni kigogo wa CCM mwenye hela🀣🀣.



Nilikuwa nakuhisi wewe mzee 🀣🀣🀣. Maana kuna kizazi cha wazee wa hovyo sikuhizi 🀣
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Nashukuru Babu.
Natumai nimetimiza nilichokuahidi... burudani kuelekea mwisho wa mwaka.
Endelea kutufurahisha Mjukuu

Nimeandaa zawadi ya Jogoo ukija kunisalimia wewe na Mkwe wangu holiday ijayo, maana umefanya Babu yako magego yote nje kwa furaha πŸ€—
 
Lazima asumbuliwe, 10M mchezo?

Diamond ndio huwa nashindwa tu hapo kumkubali, ana ujinga mwingi mno!
kwahiyo yeye kila anapopita diamon na yeye lazima aende. kwa swepetuu, kwa mkuu wa wilaya, kwa lulu, kwa zuchu sasa, au huwa anafuata nyota za diamon huko alikopitia? na mwisho wa week ijumaa ni wa kwanza kwenda kuswali na kunyonganyonga mdomo akijifanya yeye ni muislam swafi.
 
Umbea usio na ushahidi ni uongo tuwekee viushahidi kama mange Kimambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…