Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Mange kashamsaka huyo Aliyemtongoza Zuchu. Ni kigogo wa CCM mwenye helaπ€£π€£.Yule atakuja kuniua Babu yenu, maana kwa vile viuno akivileta kitandani si kisukari na presha vitanipanda Mzee wenu ππββοΈπββοΈπββοΈ
Ila Nifah hatari na nusu.Sasa Mkuu, aliyekuomba uamini ni nani?
Supporting document kwa kitu gani?
Unashindwa nini kusoma na kuendelea na mambo yako hadi ulete ubishani?
Tafuta vithibitisho kivyako, mimi sio shida zangu hizo.
π π π πββοΈπββοΈπββοΈMange kashamsaka huyo Aliyemtongoza Zuchu. Ni kigogo wa CCM mwenye helaπ€£π€£.
Nilikuwa nakuhisi wewe mzee π€£π€£π€£. Maana kuna kizazi cha wazee wa hovyo sikuhizi π€£
Nilimanisha mambo ya za ndaaani kabisa aka ubuyu.Mimi wala sina hatari, ni watu tu wananichokoza wenyewe.
Imagine mtu anaulizia supporting documents kwenye umbea! Tena wa bure!
Nifah wewe ndo mrithi mzuri wa marehemu warumiMimi wala sina hatari, ni watu tu wananichokoza wenyewe.
Imagine mtu anaulizia supporting documents kwenye umbea! Tena wa bure!
Tuna bahati kuwa na wewe hapa, tupewe nini tena...gunia la chawa πNina chanzo hatari Mkuu, kinanipa za ndaaani mno π π
Siokoti habari Instagram.
Should and must be so.....Nina chanzo hatari Mkuu, kinanipa za ndaaani mno π π
Siokoti habari Instagram.
Endelea kutufurahisha MjukuuNashukuru Babu.
Natumai nimetimiza nilichokuahidi... burudani kuelekea mwisho wa mwaka.
kwahiyo yeye kila anapopita diamon na yeye lazima aende. kwa swepetuu, kwa mkuu wa wilaya, kwa lulu, kwa zuchu sasa, au huwa anafuata nyota za diamon huko alikopitia? na mwisho wa week ijumaa ni wa kwanza kwenda kuswali na kunyonganyonga mdomo akijifanya yeye ni muislam swafi.Lazima asumbuliwe, 10M mchezo?
Diamond ndio huwa nashindwa tu hapo kumkubali, ana ujinga mwingi mno!