Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Nifah Nifah Nifah, nimekuita mara 3, rudi kwenye mstari, unakengeuka.

the bold hajambo lkn? anakubaliana na haya?
Mbona hukuwahi kuniambia nilipokuwa kwenye huo mstari?
Usinipangie cha kuandika, its either usome au upite kimya.

Watu sijui mkoje? Kwani mnanilipa hadi mnipangie?
 
Mbona hukuwahi kuniambia nilipokuwa kwenye huo mstari?
Usinipangie cha kuandika, its either usome au upite kimya.

Watu sijui mkoje? Kwani mnanilipa hadi mnipangie?
duuu ama kwel kale kanifah kapole kapole kamekuwa katata siku hz,

Soriy mamiloo, jiachie kwa raha zako.
 
View attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Ali Saleh Kiba ‘Ali Kiba’ mapenzini, enzi na enzi!

Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.

Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!

Basi… ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!

PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!

Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!

Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!

ACHANA NA SALAMA…
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay… huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!

ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NG’OMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba “Catch the flight not the feelings “?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.

ALI KIBA NDIO ZAIDI!
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!

Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!

Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindi…

Wasalaam,

Nifah.
Je, una supporting document yoyote kama kithibitisho? Au ndio kulisemwa na alisema? Zamani nilikuwa ninaamini kirahisi niliyoyasoma mtandaoni ila siku hizi watu wanapenda kuona likes nyingi na kuna habari nyingi zinasemwa na baadae kuthibitika si kweli, mfano ni hii juzi tunaambiwa Mzee Mpango amekata moto, tukatajiwa hadi aliyeandaliwa kutangazwa kwa nafasi yake ya VP......baadae ikaweje?

Hii habari yako nitaitunza hadi nitakapopata vithibitisho ndio nitaiamini, kwa sasa ni habari nyepesi tu, ambayo hata mimi ningeweza kukaa na bando langu la jero nikaitunga.

Wasalaam!
 
🤣
Mi sijui, labda dm zao. Au ufatilie nyendo zao ukutane nao uso kwa uso. Au watu wa connection au "madalali" wao kwenye maeneo ya starehe wahuni wengine wanaoomba namba dm kabisa ila wananyoosha maelezo kuwa ni kujua bei ya kukulana kwa 1night au wahuni wengine wana wadm hao ma slayqueen kama wanataka kuwapa dili la matangazo ili kupata contacts kiurahisi au wahuni wengine wanaoomba connection kupitia magay


Inaonekana circle yako haina watoto wa mjini wenye connection na warembo 🤣


Mi pia sina

Hakuna cha watoto wa mjini mkuu unless ni wateja wao

Ila kwa kiasi kikubwa Mastar wanadalaliwa na machawa wao au wanaume mashoga wanaozunguka nao 24/7

Pia hawa designers, ukiona star ana urafiki sana au anashonewa sana nguo kwa designer flani, bhasi hapo connection ipo

Wengine ni hawa "dada" Na "kaka" Zao wa mjini ambao wengi huwa na majina na connections za watu wakubwa. Unakuta hawana bond yoyote ya kibiashara na mastar Ila wanaiva sana, hapo connection ipo

Na wengine ni hawa photographers wao japo hawa hawana influence kwenye maisha yao Ila wana contacts za mastar karibia wote

Uzuri wa hizi groups zote zipo kwenye Instagram page zao kwa sababu huwa wanawatag na kama hawajapewa tag, bhasi lazma watu husika wacomment

Sifundishi mtu ununuzi wa sex Ila naongea uhalisia kwa sababu kupata access na mastar sio kitu kikubwa kama inavyoonekana 😁😁
 
duuu ama kwel kale kanifah kapole kapole kamekuwa katata siku hz,

Soriy mamiloo, jiachie kwa raha zako.
🤣🤣🤣
Mkuu sio hivyo, kila mtu ana upande wake wa pili ambao huwezi kuujua ni hadi umchokoze…

Mi bado kapole jamani, yaishe Mkuu.
Peace
 
Je, una supporting document yoyote kama kithibitisho? Au ndio kulisemwa na alisema? Zamani nilikuwa ninaamini kirahisi niliyoyasoma mtandaoni ila siku hizi watu wanapenda kuona likes nyingi na kuna habari nyingi zinasemwa na baadae kuthibitika si kweli, mfano ni hii juzi tunaambiwa Mzee Mpango amekata moto, tukatajiwa hadi aliyeandaliwa kutangazwa kwa nafasi yake ya VP......baadae ikaweje?

Hii habari yako nitaitunza hadi nitakapopata vithibitisho ndio nitaiamini, kwa sasa ni habari nyepesi tu, ambayo hata mimi ningeweza kukaa na bando langu la jero nikaitunga.

Wasalaam!
Sasa Mkuu, aliyekuomba uamini ni nani?
Supporting document kwa kitu gani?

Unashindwa nini kusoma na kuendelea na mambo yako hadi ulete ubishani?
Tafuta vithibitisho kivyako, mimi sio shida zangu hizo.
 
Hakuna cha watoto wa mjini mkuu unless ni wateja wao

Ila kwa kiasi kikubwa Mastar wanadalaliwa na machawa wao au wanaume mashoga wanaozunguka nao 24/7

Pia hawa designers, ukiona star ana urafiki sana au anashonewa sana nguo kwa designer flani, bhasi hapo connection ipo

Wengine ni hawa "dada" Na "kaka" Zao wa mjini ambao wengi huwa na majina na connections za watu wakubwa. Unakuta hawana bond yoyote ya kibiashara na mastar Ila wanaiva sana, hapo connection ipo

Na wengine ni hawa photographers wao japo hawa hawana influence kwenye maisha yao Ila wana contacts za mastar karibia wote

Uzuri wa hizi groups zote zipo kwenye Instagram page zao kwa sababu huwa wanawatag na kama hawajapewa tag, bhasi lazma watu husika wacomment

Sifundishi mtu ununuzi wa sex Ila naongea uhalisia kwa sababu kupata access na mastar sio kitu kikubwa kama inavyoonekana 😁😁
🤣
Ukishakojoa bao la kwanza tu. Unaanza kujutia hela yote iliyotumika.
 
Back
Top Bottom