Lulu ni staa asiyejua matumizi ya deodorant

Lulu ni staa asiyejua matumizi ya deodorant

Kuzuia jasho kwa muda haina madhara jamani, mbona tunazuia kwa muda vitu vingi tu km kunya, kukojoa na hata sex hatudhuriki, sasa vipi kwa wale wanaoishi sehemu za baridi Kali, khaaa nitaitafuta hiyo soon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoka jasho ni njia mojawapo ambayo Mungu ameiweka ili mwili uwe unatoa sumu mwilini na kuweka mifumo ya mwili sawasawa! Sasa kwanini upake makemikali ya kuzuia jasho isitoke? Je unajua kufanya hivyo Kwa muda muda mrefu huwa kuna madhara? Tafakali na uchukue hatua! Njia nzuri ya kufanya ili kuepuka jasho lenye harufu ni kuoga vizuri, kupaka sabuni na kujisugua vizuri makwapani na kuhakikisha unasugua makwapani Kwa povu la sabuni na kujisuuza kisha paka tena sabuni sugua na kujisuuza nakwambia Hata jasho itoke vipi haitakuwa na harufu ya ajabu! Hata mapafyumu siyo mazuri ni kemikali zile, Hata manukato ya kuweka Kwenye Magari na spray za bafuni na Ofisini zote hazifai Kwa wenye uelewa na wenye kujali! Yani nikaanza kijadili kiundani wengi watanishangaa na kuniuliza Kwa hiyo inakuwaje [emoji87][emoji87][emoji87] kila Mtu afanye anavyoona ni vyema!
Umenena

Simpi Kiki kunguni wa mwendokasi
 
Anti perspirant deodarants huwa zinafanya kazi kwa kuzuia jasho kutoka kwenye ngozi. Nyingi huwa zina aluminium inayofanya kazi yakuziba yale matundu (pores) ambapo jasho hutokea
Kuziba matundu ya jasho na kuzuia jasho lisitoke kwenye ngozi mbaya zaidi kiafya kuliko kutokutumia hizo deodarants!!
 
Back
Top Bottom