Haya maneno siyo ya mtu mzima aiseeUkianza dalili za awali za kansa njoo nikuanzishie kliniki maana manufacturer alikuweka matundu yatoe jasho wewe unayaziba kwa sababu ya ujuaji.
Kwa nini mama?
Mwili umesisimka mno, maradhi hayo yanatisha, tuelimishane kwa pendo jamaniKwa nini mama?
Pole sana, lkn ndio ukweli. Hayo makitu tutumie kwa nadra sana, sio kila siku tunapoenda kazini. kublock njia ya utoaji taka ni kujitafutia muhali.Mwili umesisimka mno, maradhi hayo yanatisha, tuelimishane kwa pendo jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
UmenenaKutoka jasho ni njia mojawapo ambayo Mungu ameiweka ili mwili uwe unatoa sumu mwilini na kuweka mifumo ya mwili sawasawa! Sasa kwanini upake makemikali ya kuzuia jasho isitoke? Je unajua kufanya hivyo Kwa muda muda mrefu huwa kuna madhara? Tafakali na uchukue hatua! Njia nzuri ya kufanya ili kuepuka jasho lenye harufu ni kuoga vizuri, kupaka sabuni na kujisugua vizuri makwapani na kuhakikisha unasugua makwapani Kwa povu la sabuni na kujisuuza kisha paka tena sabuni sugua na kujisuuza nakwambia Hata jasho itoke vipi haitakuwa na harufu ya ajabu! Hata mapafyumu siyo mazuri ni kemikali zile, Hata manukato ya kuweka Kwenye Magari na spray za bafuni na Ofisini zote hazifai Kwa wenye uelewa na wenye kujali! Yani nikaanza kijadili kiundani wengi watanishangaa na kuniuliza Kwa hiyo inakuwaje [emoji87][emoji87][emoji87] kila Mtu afanye anavyoona ni vyema!
Kuziba matundu ya jasho na kuzuia jasho lisitoke kwenye ngozi mbaya zaidi kiafya kuliko kutokutumia hizo deodarants!!Anti perspirant deodarants huwa zinafanya kazi kwa kuzuia jasho kutoka kwenye ngozi. Nyingi huwa zina aluminium inayofanya kazi yakuziba yale matundu (pores) ambapo jasho hutokea
Hii Driclor kwa Dar inapatikana wapi? Maana pharmacies nyingi nilizotembelea kuulizia hawana. Naomba mnisaidie WAKUUkuna dawa inaitwa Driclor aisee akiipata hiyo jasho la kwapa ataliona kwa wenzie tu
H
Hii Driclor kwa Dar inapatikana wapi? Maana pharmacies nyingi nilizotembelea kuulizia hawana. Naomba mnisaidie WAKUU