KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Naomba kujua, ivi huwa anavaa afu anapiga picha, kuposti na kurudi kulala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ile mimba yake ilikua hewa..!!??Naomba kujua, ivi huwa anavaa afu anapiga picha, kuposti na kurudi kulala?
Basi hata hapo chini kalowa ...atizamwe vizuri...Hii haina uhusiano na kutokujua kutumia deodorant kabisa maana haina uwezo wa kuzuia kulowa kwa nguo..
Hii mara nyingi huchangiwa na kutofanya usafi sehemu za makwapa na kuacha nywele na ukitoka jasho linabebwa na nywele hizo na kulowesha nguo..
Asilimia 80% ya watu wanaolowa makwapa wanakuwa hawajanyoa nywele za makwapa!
Kwa hiyo Lulu hapo alikuwa hajanyoa nywele za makwapa...
yaani wewe ni Gentleman unafatilia maisha ya mwanamke huyu! hawa ndio waliofanya interview ya TRA halafu hawaijui AGOA (African Growth Opportunity Act)![]()
![]()
Inakuwaje staa kama Lulu anakubali kuweka ramani ya jasho kwenye kikwapa? Inamaana hajui matumizi ya deodorant wajuzi wamsaidie?
Hiii hawezi kua na side effects kweli mkuu..?Anti perspirant deodarants huwa zinafanya kazi kwa kuzuia jasho kutoka kwenye ngozi. Nyingi huwa zina aluminium inayofanya kazi yakuziba yale matundu (pores) ambapo jasho hutokea
Kila kitu in moderation mkuu, that's the trick.Hiii hawezi kua na side effects kweli mkuu..?
Kwa hiyo unadhani unaweza toa haja kubwa kupitia njia ya haja ndogo. Mungu sio mjinga!Makwapa si sehemu pekee ya mwili kutoa jasho. The skin is the largest organ of the human body na yote ina sweat pores, sehemu ya kwapa ni ndogo sana kuleta hayo madhara makubwa unayozungumzia.
Kwahiyo wewe jasho linatokea kwapani tu?? Kasome kidogo kuhusu ngozi na kazi yake. Ngozi ya kichwa(scalp) ina sweat glands nyingi kuliko hayo makwapa. Hata hivyo mm nimechagua kupaka deodorant na ww kama umechagua kutokupaka sio kesi mkuu. Utakuta unapaka lotion wakati ngozi ina mafuta ya asili.... Mungu si mjinga!Kwa hiyo unadhani unaweza toa haja kubwa kupitia njia ya haja ndogo. Mungu sio mjinga!
Eti kweli aisee, hebu mweleweshe!Deodorant inaondoa jasho au harufu ya jasho?
Wewe mpaka lotion ndio ujue Mungu sio mjinga!Kwahiyo wewe jasho linatokea kwapani tu?? Kasome kidogo kuhusu ngozi na kazi yake. Ngozi ya kichwa(scalp) ina sweat glands nyingi kuliko hayo makwapa. Hata hivyo mm nimechagua kupaka deodorant na ww kama umechagua kutokupaka sio kesi mkuu. Utakuta unapaka lotion wakati ngozi ina mafuta ya asili.... Mungu si mjinga!
Ukianza dalili za awali za kansa njoo nikuanzishie kliniki maana manufacturer alikuweka matundu yatoe jasho wewe unayaziba kwa sababu ya ujuaji.Sijui unayotumia wewe, ila ninazo tumia mm ni anti- perspirant mkuu, yaani zinazuwia jasho.
[emoji23][emoji23] live your life!Wewe mpaka lotion ndio ujue Mungu sio mjinga!
Deal!Ukianza dalili za awali za kansa njoo nikuanzishie kliniki maana manufacturer alikuweka matundu yatoe jasho wewe unayaziba kwa sababu ya ujuaji.
![]()
![]()
Inakuwaje staa kama Lulu anakubali kuweka ramani ya jasho kwenye kikwapa? Inamaana hajui matumizi ya deodorant wajuzi wamsaidie?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naomba kujua, ivi huwa anavaa afu anapiga picha, kuposti na kurudi kulala?