Lulu sasa abadilishiwa mashtaka

hapa tunasema sheikh Ponda KUTENGENEZEWA KIBALI NA DPP ILI KUMKOMOA KWA KUWA NI SHEIKH LEO HUYO HUYO ANABADILISHA KESI YA MAUJI ILI YAWE SIO MAUJI

Sasa kama hoja ndo hiyo, Lulu kaingiaje. Afu nlifikiri ulikosea kwa bahati mbaya lakini naona umerudia maranyingi siyo "mauji" we kilaza.... ni "mauaji"
 

tatizo kwenye sheria lipo tena kubwa na hili lasababishwa na katiba lawyers wote wanajua kuwa katiba ndo mother law so watemea kama mother law ni mbovu wat else utapata kwenye hizo sheria ndogo
 
Kokoto vs mauji wapi na wapi? kesho utasikia DPP atoa kibali haraka Lulu ELIZEBETH apewe dhamana bila ya mashari huku KIBALI cha sheikh ponda kikiengezwa muda zaidi. HUYO Ndio DPP wetu wa tanzania
 
Hujatafakari vizuri Babamamakakadada, Issue ya Sheikh Ponda sio kesi ya wizi wa kokoto tu, huyu Mwalimu wetu wa dini anazuliwa kwa ajili ya uchochezi. Ni heri aliyekwisha ua mtu mmoja kulikoni mchochezi wa kusababisha ghasia ambazo hujui zitaua watu wengine wangapi. Kinga ni bora kuliko tiba
 
kuna watu na viatu humu kufananisha hz kesi na hatua zilizochukuliwa ni jambo la ajabu, Ponda wengi walimshindwa at least sasa anajua sheria ipo katulia kama maji ya mtungi sasa, aliyoyafanya kidongo chekundu tuliona ya changombe tuliona alieona ya Lulu na Kanumba rip nchumbani ni nani? C ajabu statement ya mwanzo ya Lulu pale oysterbay ndo imechelewesha maamuzi haya kufikiwa....ntaendelea bdae
 
kwani wewe unaona cha ajabu ni nini? Kama wezi wa kuku wanapigwa na jaji nyundo 10 na kuwaacha mafisadi wakitanua kitaa, sembuse hili. Yanayotokea Tz hayatokei sehemu
yoyote ya dunia na yanayotokea sehemu nyingine ya dunia pia hayatokei Tz
 
Kokoto vs mauji wapi na wapi? kesho utasikia DPP atoa kibali haraka Lulu ELIZEBETH apewe dhamana bila ya mashari huku KIBALI cha sheikh ponda kikiengezwa muda zaidi. HUYO Ndio DPP wetu wa tanzania

Inawezekana una hoja mkuu lakini hueleweki unapong'ang'ania kuwaunganisha Lulu na Shehe Ponda.
 
Inawezekana una hoja mkuu lakini hueleweki unapong'ang'ania kuwaunganisha Lulu na Shehe Ponda.
mimi bado naamini kuna udini. Kilichomsibu Ponda ni kusema anataka akamgone Dk Ndalichako wa NECTA kwani inawahujumu waislam. harakati za Ponda Zinawaudhi baadhi ya watendaji wasiofata maadili ya kitanzania. hili limewakera sana baadhi ya watendaji waliofaidikia na mfumo wa NECTA. sidhani kama kokoto
 
Twenzetu mwalimu wangu. Huku hakutufai hata kidogo.

Twende ukanambie kwanini ulinitoroka kabla sijakupa haki yako? Ah mwalimu Mashallah wewe...... Acha tu.

hahahahahhahahahhaha mwalimu maridhia sio !darasa litaenda kweli?
 

kwahiyo mtoto alimuua mtoto mwenzake au siyo? Acha kutetea zinaa wewe!
 
DPP Feleshi hamna kitu ndio maana hajiamini anaishia kufanya maamuzi kwa maelekezo ya wafanyabiashara na wanasiasa.
 
ubongo mwingine bwn yaan ni kujaza kichwa tu kiwe cha duara.
udini upi? udhaifu sio udini ndugu.
ebu nijuze yule aliyechochea wizi na uharibifu wa makanisa anashtakiwa kwa kosa la kuvamia kiwanja cha muislam, wakrisv walitendewa haki?
 

Ambao ni Jakaya Kikwete na Said Mwema...
 
Sijui hata kesi ya yule mtoto aliekojolea Qurani haijabadilishwa na kuambia kakojolea daftari lenye maandishi ya kiarabu. DPP watz bana. bora katiba mpya iseme asitoke dini yoyote ile
 
Yani tukianza kuingiza udini kwa kila jambo hatutafika. Mwisho wa siku hata kwenye daladala itakuwa ni wapande waislam nusu na wakristo nusu. Sasa wapagani sijui wataenda kwa mguu au la. Boqa JF tungekuwa tunatumia majina halisi kuliko hivi kila mtu anaamua tu kuanzisha threads ambazo mwisho wake mbaya
 
ubongo mwingine bwn yaan ni kujaza kichwa tu kiwe cha duara.
udini upi? udhaifu sio udini ndugu.
ebu nijuze yule aliyechochea wizi na uharibifu wa makanisa anashtakiwa kwa kosa la kuvamia kiwanja cha muislam, wakrisv walitendewa haki?

Yule mtoto alekojolea qurani kesi yake haijafutwa? mara utasikia dpp kaona hakuja haja ya kuendelea nayo. Nchi hii tunapinga udini majukwani, maofisini tumeoza
 
hahahahahhahahahhaha mwalimu maridhia sio !darasa litaenda kweli?

Litaenda hivyohivyo si nimedhamiria kufaulu? Ila nawee usinifanyie makusudi mwanafunzi wako. Nikijitolea kufeli usinilaumu lol..
 
Kokoto vs mauji? kweli amani ya tanzania inatoka kwa Mungu muumba sio sera ya watawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…