Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
what's the reference point ambapo mbele yake ni future na nyuma yake ni past katika maisha yake?Uwezekano wa kuhukumiwa kunyongwa ulikuwa katika past au future yake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
what's the reference point ambapo mbele yake ni future na nyuma yake ni past katika maisha yake?Uwezekano wa kuhukumiwa kunyongwa ulikuwa katika past au future yake?
what's the reference point ambapo mbele yake ni future na nyuma yake ni past katika maisha yake?
Maskini, ujana wake unapotea tu huko ndani. So unfortunate!
kanumba angekuwa ndugu yenu mngejadili kwa utulivu huu,hapa hakuna hata mmoja anayejua ukweli,lulu aweza kuwa na hatia au asiwe nayo.
mkuu, hakuna shitaka la kuua bila kukusudia! Ila mahakama baada ya kupelekewa kesi ya mauaji. Hupunguza kosa 'mudder' kuwa 'manslaughter'. Huwezi kupeleka 'manslaughter' km kosa mahakamani. Sijawahi ona zaidi ya kesi ya uncle Dito na hii hapa.
Mimi sioni kama kuna ukiukwaji wa sheria uliofanywa na Mkurugenzi wa Mashtaka, mshtakiwa hufunguliwa shtaka kulingana na ushahidi uliopo, kama DPP hana ushahidi unaoweza kuthibitisha kwamba Lulu ameua kwa makusudi na aliua bila ya kukusudia kuna haja gani ya kuendelea kumshtaki Lulu kwa mauaji ya kukusudia. Ukiangalia jinsi tukio lenyewe lilivyotokea ni wazi kwamba kuna ugumu kwa DPP kuweza kuthibitisha mauaji ya kukusudia. Ni mamlaka yake na nakubaliana nae kwa kitendo hichi cha kubadilisha shtaka. Hakuna mamlaka yoyote ya Mahkama yaliyoingiliwa hapo.
Don-Oba,
Upo NAÏVE sana na inawezekana hata sheria moja ya nchi hii hujui.
Lipo shitaka la kuua bila kusudia. Manslaughter.
Ukimshtaki mtu mahakamani kwa kosa la kuua kwa kusudia, Murder, ikagundulika aliua bila kukusudia, manslaughter ina maana anaachiwa huru.
Mahakama haiwezi kutunga shitaka.
Kama DPP hana ushahidi hawezi kukushtaki.
Mfano, umeshitakiwa kwa kosa la kuiba. Ushaidi ukaonyesha kua haukuiba bali ULIPIGA, ingawa kupiga mtu ni kosa, mahakama haiwezi kukuhukumu kwa kosa ambalo haukushtakiwa nalo. Hivyo inakuacha huru.
Ndio hilo alilofanya DPP.
Wabongo muwe mnasoma na msiwe wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo.
Je umewahi kujiuliza kwanini marehemu alikua anatembea na mtoto chini ya miaka 18?. Marehemu alikua akimbaka. Ndio maana yake.
yametimia, muda c mrefu ataachiwa ,bongo bana naskia kuna mjombaa anamkata kulekule pa gereza
Mkuu FairPlayer,
Hawa vijana wa fasta fasta huwa hawataki kusema hawajui na wakaamua kujifunza. Badala yake wanapasiana ujinga na mwisho jamii yote inajaa wajinga tu.
Hili jambo hata uki google tu unapata ukweli haraka na kuna mifano mingi lakini Mungu wangu vijana wanakuja na hitimisho utafikiri wanajua ukweli kumbe wako nje ile mbaya.