Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Eeh!umeanza uchokozi,leo nimemuona ana pee mtaani halafu eti ana degree 3,labda degree za kuangua embe dodo.
Degree za kupiga picha na mabebez i like it u know
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh!umeanza uchokozi,leo nimemuona ana pee mtaani halafu eti ana degree 3,labda degree za kuangua embe dodo.
bina leo unaongea matusi si ushasema mdomo mchafu tuusafishe nami ni mwanafunzi wakoo inakuwaje!!!!
hahahahaha kikongi hicho ohooo sijatukana mie hapo
kamata fursa bwanaaa tukamuone riri live bila marangirangi mine
subiri msukuma aandae ma viza pamoja na yako tupae pipa,achana na huyu dogo mziki wangu mkaliii
ya ngosha ya masharti tutakua hatujiachii ya huyu ndo yenyewe ujue si unajua mchepuko unakupa uhuru...!!
Aaaa mchepuko sio dili ntarudi na matope
Subiri msukuma aandae ma viza pamoja na yako tupae pipa,achana na huyu dogo mziki wangu mkaliii
tunaoga tu swafiii nani atajua kwani
bahatu haziji mara mbili ohooo
Huo mziki mkali ndo unanifanya nipate goosebumps mamitooo
Hahahahaa!awe muwazi tu kwamba masharo hawahongi basi asijifanye maisha sijui nini hapa.
Weeee unataka kuniharibia mji eee chepuka we nijee hhhhhhhhaaa
hahahaaaa....
sikuharibii shoga ukiwa na ndoo sharti uwe na kidumu pembeni
Dina nichexk privt
Mmmhhhhhhhhhhhh
Dina nichexk privt