atleast mi mwanaume wa below 30+ nna alerg kabisa nashindwa hata kumuitikia salamu akionyesha dalili zakuntongoza. mwanaume aged kidogo anafaa kuhandle bwana kama anajituma kidogo kutafuta mlee familia. huchoki hata kuamka saa nane usiku ukamuandalia kijichai uji akirudi ukaandaa kaji juice kidogo hatw kama wote mmetoka kazini. hawawatu kiufupi wanashukurani ukiwaonyeshs love wengi wana respond +vely wanahitaji uwajali tu wataupenda mpaka uite kikao cha ndugu kumuomba apunguze. sharobaro utachora chini.
NB: wapo waliokengeuka ila ukweli ni wachache. kwa haya mauzi ya ndoa bora nimpate hata wa 47 tukiishii happily for 20yrs ndio ajazeeka.inatosha sio sharo mnaoana mkitoka honeymuun mmenuniana