Lumumba, Dar: Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM imetoa siku 7 kwa Kamati yake ndogo kuwasilisha taarifa ya mahojiano ya Membe, Makamba na Kinana

Hivi vikao vya chama ilitakiwa vifanyike Weekend au siku zisizo za kazi kwa kuwa Watendaji Wakuu wa chama ni watumishi wa Umma na wanalipwa mishahara na serikali.
Hilo la wafanyikazi wa umma ni dogo, ila kufunga barabara kuna umiza umma mkubwa kuwachelewesha na msongamano wanmagari sehemu nyingi, kwa barabara moja tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wazenji waungwana sana angalia salamu(mikono) ya Bashiru vs Shein ilivyopokelewa then cheki salamu ya Bashiru kwenda kwa Magu/Majaliwa ilivyopokelewa.

dodge
 
akina Kinana na Makamba watakwepo,ukimwacha kachero wa gusa ni nuke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…