Lumumba, Dar: Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM imetoa siku 7 kwa Kamati yake ndogo kuwasilisha taarifa ya mahojiano ya Membe, Makamba na Kinana

Kodi za Wananchi Zinatumika Vibaya Kwa vikao Visivyo na Maana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha kupaniki dada unataka na wewe nikuletee ile mboga ule?
Tena siyo huyo tu hadi panya mie nakula,
Una lingine au umeishiwa unasubiri kichapo hapo oktoba mwaka huu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM inaonekana kujiimarisha zaidi kuliko vyama vya upinzani,....kweli siasa ni sayansi....usipo ijua basi bora uache siasa ufanye kazi nyingine.....vyama vya upinzani vinasubiri kulalamika badala ya kujiimarisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana wamefedheheshwa na namna watu walivyoyapokea mahojiano hayo!
 
 
Haya ndio madudu tunayoweza afrika,
Kushinda kanisani tukiomba weeee,kuzindua mataasisi ya huduma badala ya kutengeneza viwanda,na siasa zisizo na tija

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyekiti hakufurahishwa wastaafu kupokelewa kwa bashasha kama wafalme, mwenyekiti alikasirika wastaafu kugoma kumwangukia, kama inavyosemekana mwenyekiti anapenda kulambwa miguu, pale kwenye mahojiano hayakua mahojiano yalikua maongezi tu ya kawaida (story). mwenyekiti anaituhumu kamati ndogo kutokutekeleza maagizo waliyopewa na halmashauri kuu, wamepewa siku saba watoe taarifa ya hayo maongezi yao ili hatua zaidi zichukuliwe dhidi ya wahoji na wahojiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…