Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Sijawahi kabisa kuyashuhudia kwa kuwa mimi siishi kwenye hiyo dunia yenu!!Mkuu wewe mapokezi ya namna hii umewahi kuyashuhudia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kabisa kuyashuhudia kwa kuwa mimi siishi kwenye hiyo dunia yenu!!Mkuu wewe mapokezi ya namna hii umewahi kuyashuhudia wapi?
Mmoja yupo kwenye gari na mwingine kaingia ndani na wote wametupa mashati ya CCM. Halafu kamati gani ya maadili ya watu wanne? Walikuwa na mishemishe zao naona wakaamua kupitia hapo kunywa kahawa ila kimsingi mumefeli kwenye hii movie.
Mbona wanaomhoji naona wote wametazama chini au pembeni wakati mtuhumiwa ndiye kawakazia macho. Si mwenyekiti wala mjumbe anayethubutu kumtazama usoni. Ni kama kamati ndio inahojiwa vile!
SASA UME SAIDIA WALE WANA OTUMIA HILO NENO KIMAKOSA.Double Standard ni pale mtu (ambae hapendiwi au asiekua na madaraka) akifanya jambo fulani basi ni "KOSA", ila jambo hilo hilo likifanywa na mtu anaependwa/mwenye madaraka "SIO KOSA".
Mfano, Chama tawala kufanya kampeni kabla ya muda au kufanya vikao vya hadhara sio kosa, ila vyama vya upinzani kufanya hayo ni kosa.
Picha inajieleza kuna tatizo. Mzee Makamba ni kama vile anasisitiza msimamo na kumwambia Bashiru "Nyie endeleeni na chama chenu" na Bashiru anaonekana kumsihi Makamba abadili msimamo na kubaki kwenye chama.
View attachment 1353738
Ni haki yao.Kikao kina posho kikatiba.Sitting Allowance.Mikono wamenyoosha wakapokea mshiko na kurudi nyumbani siku mbili bila kikao.Hii ni sawa sawa na kusubiri lift ambayo hujui itatokea wakati gani.Usikute bado posho zao za kikao walilipana!
Na ubaya ni kwamba michango kama huu wako ni wachache sana humu JF wanaoupa nafasi kuusoma na kuyafikiri yaliyoandikwa ndani yake kwa kina.Nasisitiza; hii ni kwa wenye akili tu. Kama unajiona huna akili, tafadhali, yapo mambo mengi yanakuhusu lakini sio hii post.
Mtu mwenye akili timamu alijua vizuri kuwa yaliyokuwa yanasemwa kuhusu hawa wazee ni uongo ambao ungejibiwa na muda.
Wazee wasingekataa kuitikia wito bali wanaweza kukataa yaliyojiri kwenye wito.
Tatizo la mitandao kwa sasa nchini ni uongo umekuwa ukitangulia kabla ya ukweli!
Membe aliitwa kuhojiwa na kamati ipi na hawa wazee Makamba na Kinana wameitwa kuhojiwa na kamati ipi?Sijawahi kabisa kuyashuhudia kwa kuwa mimi siishi kwenye hiyo dunia yenu!!
Agreed to what?Finally agreed
Jr[emoji769]
Si unajua tena siasa zetu ni za kubadili gia angani!kumbe alienda kikaoni mwanajeshi ameacha msimamo wake?
Siasa zinaboa....
Leo mnamsifu hatoenda kesho wamezingua wanaenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna macho hadi usione wanavyobembelezwa?Tuliambiwa na kibaraka wa Mabeberu Ansbert Nguruma kuwa wamegoma na kuandika barua ya kujivua uanachama wa CCM kulikoni tena?