Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

Hawakwenda Dodoma.

Wamefatwa Dar na huelewi kilichojiri mpaka wakakubali.

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Hapo kila mtu mwenye akili timamu anafahamu dikiteta uchwara ndo kapiga magoti kwa hawa jemedari.
 
Kwani wewe ulitakaje? Mnafiki hana aibu. Huna habari Bashite aliwahi kumfungia kamba za viatu Ridhwani? Ngoja nikukumbushe wewe mnafiki...

View attachment 1353862
Sasa kama huyo Bashite alikuwa anauza viatu cha ajabu nini hapo?

Unaacha kushangaa baba mkwe wa Zitto kutaka mkwewe auwawe unamshangaa Gavana?!!
 
FaizaFoxy,
Safi sana bi Ajuza, kuna wakati zinakurudi. Huo ndio unafiki ninaouongelea...mtu anaona kabisa kwamba hiyo kaniki rangi yake ni nyeusi lakini kwa unafiki anadai ni nyekundu.

Kuna mwingine eti anashangaa Bushiru kumpa heshima yake Mzee Makamba leo baada ya kutamka yale aliyoyatamka hapo awali kufuatia tuhuma za mhuni moja anayejiita Musiba.
 
johnthebaptist,
Magu atapata taabu saana yaani kinana aliyemwita mshamba ndo amekumbatiana na wanakamati ya maadili kwa mashamsham na bashasha vile,

Mkuu Jiwe wanakug'ong'a shtukA
 
Magu atapata taabu saana yaani kinana aliyemwita mshamba ndo amekumbatiana na wanakamati ya maadili kwa mashamsham na bashasha vile,

Mkuu Jiwe wanakug'ong'a shtukA
CCM ni chama kikubwa........Chadema waliwaogopa Zitto na Prof Kitila ikawa mwanzo wa chama hicho kuporomoka!
 
Wote hawa walitakiwa kuwa Segerea haya ndiyo Mafisadi,kama yalivyo Mafisadi me
ngine CCM.
 
Wote hawa walitakiwa kuwa Segerea haya ndiyo Mafisadi,kama yalivyo Mafisadi mengine CCM.
Kumbuka Wapemba hutambuana kwa vilemba hivyo hivyo wezi na mafisadi hulindana na kukumbukana kwani wote walipitia chuo kile kile cha Lumumba wakiitana comrade!
 
MWenyekiti awaomba msamaha wazee wastaa wa chama, kupitia kwa makamu Mwenyekit na katibu mkuu
 
Wote hawa walitakiwa kuwa Segerea haya ndiyo Mafisadi,kama yalivyo Mafisadi me
ngine CCM.
Mbona kina polepole walikula pesa za tume ya katiba?na wakawasaliti wananchi na kuzawadiwa cheo,nae aludishe pesa za tume ya katiba.
 
Msirefushe Sana hi maneno,kikubwa ilikuwa kuonyesha watatii ama lah,maana huyu kigogo alitukalia kooni kuwa hawataenda,Sasa wameenda na hivyo wametii amri,,yameisha.
Tusiwaponze hawa wazee
 
Back
Top Bottom