Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawatafanywa chochote. Yaani mtuhumiwa anapigiwa magoti ili afike mahakamani!? CCM ni kichwa cha mwendawazimu tu.Hahaa nyumbu wamehamisha goli. Sasa hivi wamevaa habari ya Zitto kukutana na Nancy Pelosi. Kwao wanaona ni jambo la ajabu sana.
Wewe huo ubwabwa wako anakula nani bwashee?
Mmewapigia Magoti
Vipi kuhusu Maneno ya Polepole kuhusu Makontena.
Siyo Dodoma ni Lumumba Dar.Hakika CCM ni chama kikubwa.
Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.
Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.
Source: ITV Habari
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Hawakwenda Dodoma.no ni makopulo wa jeshi hawawezi kuja..
wanajitambua.. na wana misimamo[emoji16][emoji16]
Maneno mengi kama waganga wa kienyeji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kama wewe kukosea ni dhambi kubwa! Walikuwa Lumumba si DodomaHakika CCM ni chama kikubwa.
Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.
Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.
Source: ITV Habari
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM
Maendeleo hayana vyama!
Hayo hayakuwa mahojiano,baada ya kuwachomesha mahindi kwa siku mbili kule Dodoma,hatimae wamewaangukia kwa siku mbili mfululizo,na hatimaye wakaombwa kwenda Dar kuwaondolea aibu,ndiyo maana hakuna hata kakipande ka video zaidi ya picha za mnato mbili moja wakiwa wanakaa mezani,na moja Bashiru akimfungulia mlango wa gali kisha akaufunga na kumpungia mkono akimuaga,uliona wapi mtuhumiwa anafunguliwa mlango wa gali tena kwa unyenyekevu?je wamegoma hata kusalimiana hata na wanahabari kama ilivyo kuwa kwa Membe?Lumumba pamekuwa White House Dodoma
Hahahaha
Wazee wamefuatwa Dar,wamegoma kwenda Dom
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Ahsante mkuu!Siyo Dodoma ni Lumumba Dar.
Ni furaha tu mkuu!Mtu kama wewe kukosea ni dhambi kubwa! Walikuwa Lumumba si Dodoma
Hayo hayakuwa mahojiano,baada ya kuwachomesha mahindi kwa siku mbili kule Dodoma,hatimae wamewaangukia kwa siku mbili mfululizo,na hatimaye wakaombwa kwenda Dar kuwaondolea aibu,ndiyo maana hakuna hata kakipande ka video zaidi ya picha za mnato mbili moja wakiwa wanakaa mezani,na moja Bashiru akimfungulia mlango wa gali kisha akaufunga na kumpungia mkono akimuaga,uliona wapi mtuhumiwa anafunguliwa mlango wa gali tena kwa unyenyekevu?je wamegoma hata kusalimiana hata na wanahabari kama ilivyo kuwa kwa Membe?