The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Fiziolojia,
Yaani CCM hawapendi kushindwa. Watakuwa wamewatisha Wazee wa watu mpaka wakakubali kutokea ili kuondoa sibu. Logically huwezi kumuita kwenye kamati mtu ambaye siyo mwanachama wako.
Yaani CCM hawapendi kushindwa. Watakuwa wamewatisha Wazee wa watu mpaka wakakubali kutokea ili kuondoa sibu. Logically huwezi kumuita kwenye kamati mtu ambaye siyo mwanachama wako.

