Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

Hakika CCM ni chama kikubwa.

Mapokezi ya mzee Kinana na mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama mzee Mangula na Dr Bashiru na kukumbatiwa.

Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.

Mungu ibariki Tanzania

Mungu ibariki CCM

Maendeleo hayana vyama!
Ila na ww, picha hamna kabisa,, umeandika utafikiri unawaona!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmewapigia Magoti

Vipi kuhusu Maneno ya Polepole kuhusu Makontena.
 
Hakika CCM ni chama kikubwa.

Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.

Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.

Source: ITV Habari

Mungu ibariki Tanzania

Mungu ibariki CCM

Maendeleo hayana vyama!

Mungu aibariki Chichiem duuh!!
 
Hakika CCM ni chama kikubwa.

Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.

Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.

Source: ITV Habari

Mungu ibariki Tanzania

Mungu ibariki CCM

Maendeleo hayana vyama!
Lumumba pamekuwa White House Dodoma
Hahahaha
Wazee wamefuatwa Dar,wamegoma kwenda Dom

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Hakika CCM ni chama kikubwa.

Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.

Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.

Source: ITV Habari

Mungu ibariki Tanzania

Mungu ibariki CCM

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu,
Watanzania sio wajinga kiasi mnachofikiria nyinyi .... ha ha ah ha ha ha ha ha ha ha ha !
 
Hakika CCM ni chama kikubwa.

Mapokezi ya mzee Kinana na Mzee Makamba yamefana sana kwani wamepokelewa na viongozi wakuu wa chama Mzee Mangula na Dr. Bashiru na kukumbatiwa.

Mapokezi ya namna hii ni ya kipekee kabisa hapa duniani kwa watu walioitwa kuhojiwa kwa tuhuma za matatizo ya nidhamu.

Source: ITV Habari

Mungu ibariki Tanzania

Mungu ibariki CCM

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu hata hujui story zao walienda kupigia ofisi ipi? Kweli wewe ni "Bwashee"
 
Hizo picha ulizotumia hazina uhusiano wowote na habari yenyewe ee.maana naona kwenye gari kavaa nguo tofauti na aliyokaa hapo ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
83907111_286172682356323_3665813852960456165_n.jpg
84533396_212598446544398_4222913651256133255_n.jpg
 
Mleta mada umejiridhisha kwamba hao makatibu wastaafu wameitikia wito huo White House Dodoma au Dar? BTW naona shati la Mangula ni pana sana hadi limempwaya.
 
Back
Top Bottom