Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

Lumumba, Dar: Mzee Kinana na Mzee Makamba waitikia wito Kamati ya Maadili ya CCM

Wazee walidinda kusafiri kwenda white house dodoma mpaka wamefutwa na pia uoga wa kubambikiziwa kesi za uhujumu uchumi umefanya waitikie wito
 
Wazee walidinda kusafiri kwenda white house dodoma mpaka wamefutwa na pia uoga wa kubambikiziwa kesi za uhujumu uchumi umefanya waitikie wito
Ungeongeza sababu nyingine zaidi.... wametishiwa kulogwa, pia wameambiwa wa watasakiziwa mbwa, na hata hivyo wamepewa fedha, na pia wameahidiwa vyeo, ahaaa wahamisha magoli mna kazi!
 
Ni Lumumba na sio Dodoma.. ahaaaa nimeelewa sasa kama ni habari za kweli lakini...
 
Fiziolojia,
Hii ndio kamati au ofisi jamani, hao jamaaa wameitwa kama ilivyo Ada huu ni msimu wa uchaguzi na desturi ya CCM ni kuwawekea wapinzani mgombea kila uchaguzi unapotokea. Pasina shaka mwaka huu inaonekana watu wamekaza mpaka februari hakijaeleweka ndio wanataka maoni ya hawa wazee wao waliwezaje mpaka sasa kuwa ngumu.

Wapinzani inaonekana akili zinaanza kuwaijia sasa baada kuona jinsi wanavyopelekwa na kuumizwa. Tunachokiona ni kama ilivyotoea serikali za mitaa CCM 98% kama sio mia lakini hawasemi idadi ya watu waliopiga kura.

Mkwara wa kususia uchaguzi unawaweka katika wakati mgumu watawala sababu ndio udikteta unagongewa muhuri pasi na shaka.
 
Kwa hiyo ule mkeka wa wale jamaa umechanika?

Zile ngonjera za "Kanali this Luteni that" ndiyo zimeishia hapa au tutegemee hekaya zingine?
 
Heshima zenu wazee wetu kwa kufika. Ombi; Msiwaachie razi tu vijana wetu hao. Hao wote walikuwa hawaja zaliwa mlipojiunga chamani. Laiti wangewaomba wazee kuwahoji. Kweli maadili sasa kwishney
 
Back
Top Bottom