Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku nyingine usikiongelee chama cha ukombozi kama SACCOS ya ufipa, CCM ni chama cha wanachama wote sio chama chao
Makatibu Wakuu Wastaafu, Yusuf Makamba na Abdulrahman Kinana leo Februari 10, 2020 wamefika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Dar es Salaam kuitikia wito wa Kamati ndogo ya Usalama na Maadili inayoongozwa na Makamu Mwenyekiti Bara Philip Mangula.
Baadhi ya Picha zinaonyesha jinsi walivyokuwa wakiingia ofisini Lumumba na pia kujiandaa na mahojiano.
View attachment 1353508
Mmehamisha magoli. Ohoo wanajeshi wana msimamo! Ohoo hawa wazee siyo wakuchezea! Ohoo wamejitoa CCM. KIpindi hicho ilikuwa habari ''inayosaidia watanzania'' lakini sasa siyo!Hii habari inawasaidia nini watanzania?
Umma unajua Rais imebidi awe mpole na kuahidi kutowafanya chochote wazee hawa baada ya Rais kuwaomba sana wasijivue uanachama"Chezea ndevu usichezee dola... " Komandoo Salmin Amour